PICHA 10: Chumba alicholala mkali Chris Brown Mombasa bei hii hapa
Najua nina watu ambao wanataka kufahamu vingi kutoka kwa Mkali Chris Brown tangu alipowasili Mombasa Kenya, sasa nimefanikiwa kuinasa hii ya bei ya chumba alicholala mkali huyo. Nilichoambiwa ni kwamba thamani…
Utafiti wadai mtu mmoja kati ya wanne ni kichaa, Wizara yaeleza sababu
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. Moja…
Magazeti ya Tanzania October 11, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 11 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: TOP 10 ya magoli yaliofungwa kwa kisigino
Mtu wangu wa nguvu unaependa soka wakati huu ukiwa unasubiria mechi za kimataifa zitakazochezwa Jumanne ya October 11 2016 na mechi za Ligi Kuu mbalimbali ziendelee tena baada ya kipindi…
Mke wa Wayne Rooney hajafurahishwa na alichofanyiwa mme wake
Jina la nahodha wa timu ya taifa ya England na klabu ya Man United Wayne Rooney linazidi kukaa kwenye headines kila kukicha, Rooney amerudi kwenye headlines kwa mara nyingine tena…
VIDEO: Sababu za wanafunzi Tegeta Sekondari kugoma
Leo October 10 2016 shule ya sekondari Tegeta iliyopo jijini Dar es salaam wanafunzi wake wamegoma na kuandamana kuelekea kwa mkuu wa shule kwa madai kuwa walimu hawangii madarasani kufundisha…
Alikiba aeleza kwanini aliimba nyimbo chache Mombasa
October 10, 2016 Mtu wangu wa nguvu nakusogezea hii Video ya alichokisema msanii Alikiba kuhusu kuperform kwa muda mfupi kwenye tamasha la Mombasa Rocks lililofanyika weekend iliyopita nchini Kenya. Kufahamu…
DC Hapi aamuru kuchunguzwa mfanyabiashara anayedaiwa kusema ‘serikali iko mfukoni mwake’
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Ally Salum Hapileo asubuhi amewatembelea wananchi wa Tegeta kwa ndevu eneo ambalo baadhi ya wananchi walionekana kwenye vyombo vya habari wakilalamika kuhusu kufanyiwa hila na…
VIDEO: Kauli ya Yanga kuhusu stori za kocha wa Zesco kutua Yanga
Baada ya kuenea kwa stori za klabu ya Yanga kutaka kumleta kocha wa klabu ya Zesco ya Zambia George Lundamina, kaimu katibu mkuu wa klabu hiyo Baraka Deusdedit ametoa tamko…
U HEARD: Masizi yamtibua Barakah Da Prince kwenye Video Cover ya Stan Bakora
October 10, 2016 Baada ya kuachiwa kwa Video ya wimbo Nisamehe wa msanii Barakah Da Prince aliompa Collabo Star wa single ya Aje Alikiba, Headlines mpya zimeibuka tena kutoka kwa…