TBT: Picha za utoto za Alex Sanchez, Rooney na Daniel Sturridge
Alhamisi ya October 6 2016 kabla ya siku haijaisha mtu wangu naomba nikusogezee TBT picha za mastaa wa soka, leo naomba nikusogezee picha za utoto za staa wa Man United…
VIDEO: Hatua ya serikali baada ya kupiga STOP uvunaji misitu Chunya,Mbeya
October 6 2016 Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mbeya Rehema Madusa amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia mpango wa serikali baada ya kutoa zuio la ukataji miti inayotumika katika…
Talaka haituzuii kufanya kazi pamoja tena..Jennifer Lopez &Marc Anthony
Ni miaka mitano sasa tangu kuvunjika kwa ndoa ya mrembo mwanamziki na muigizaji Jennifer Lopez na Marc Anthony iliyodumu kwa miaka saba. Kampuni ya mziki ya Marc Anthony Magnus Media pamoja…
VIDEO: Mpango utakaomaliza uhaba wa sukari Tanzania
Taifa la Tanzania mwezi May 2016 lilikuwa katika headlines nyingi kuhusiana na kuadimika kwa sukari, kiasi kwamba Rais John Pombe Magufuli kutoa onyo kwa wafanyabiashara wanaoficha sukari ili izidi kupanda…
VIDEO: Alichokiongea Naibu spika Dk. Tulia kuhusu walemavu wa macho nchini
Ikiwa leo October 6 2016 ni siku ya maadhimisho ya watu wenye ulemavu wa kuona walemavu wasioona ambapo kitaifa imefanyika mkoani Mbeya huku mgeni rasmi akiwa ni naibu spika Dk.…
Wakazi Kagera wataharuki moto ardhini wakidhani volcano, wataalam watoa ufafanuzi
Ikiwa zimepita wiki kadhaa tangu tetemeko la ardhi litokee Kagera, leo October 6 2016 kupitia kituo cha runinga cha ITV kimeripoti habari kutokea hukohuko Kagera ambapo wananchi wa bonde la…
Takwimu: Kwa miaka 600 sasa, matajiri ni walewale katika mji huu
Imekua kawaida matajiri wakubwa duniani na wajasiriamali kujulikana kutokana na jitihada zao binafsi tofauti na hapo zamani ambapo kwa asilimia kubwa utajiri ulipatikana kwa kurithi kutoka kwa wazazi. Jambo ambalo halijabadilika…
PICHA: Concept ya kijiji cha Yanga kitakavyokuwa Kigamboni
Septemba 28 2016 mwenyekiti wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Yusuph Manji aliamua kuigawia klabu hiyo eneo lenye ukubwa wa heka 715 lililopo Geza Ulole Kigamboni kwa ajili…
Simba imemuomba msamaha Rais Magufuli
Siku nne baada ya waziri wa habari, sanaa utamaduni na michezo Nape Moses Nnauye kutangaza kuvifungia vilabu vya Simba na Yanga kutumia uwanja wa Taifa Dar es Salaam, leo October…
Azam FC imemtambulisha Abdul Mohamed aliyekuwa BBC
Mabingwa wa Afrika Mashariki na kati klabu ya Azam FC leo October 6 2016 imetangaza rasmi kuongeza nguvu katika safu ya uongozi wa klabu hiyo, Azam FC ambao wanashiriki Ligi…