VIDEO: Tambwe alivyosababisha zaidi ya viti 200 uwanja wa Taifa kuvunjwa
October 1 2016 uwanja wa taifa Dar es Salaam licha ya changamoto ya watu kuingia uwanjani kutumia electronics tiketi na kufikia kusukumana na kuumiza, mshambuliaji wa Yanga Amissi Tambwe alizua…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Yanga vs Simba October 1 2016, Full Time 1-1
October 1 2016 uwanja wa Taifa Dar es Salaam mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga dhidi ya Simba ndio ulichezwa na kumaliza tambo za mashabiki wa pande zote…
PICHA: Simba walivyobadili matokeo dhidi ya Yanga dakika 4 kabla ya mechi kuisha
Baada ya tambo za muda mrefu zilizokuwepo kwa mashabiki wa Yanga na Simba, jioni ya October 1 2016 uwanja wa Taifa Dar es Salaam ilikuwa mwisho wa ubishi kwa mashabiki…
VIDEO: Kama Diamond Platnumz atauza account yake Instagram, hii ndio pesa atakayouzia
Katika list ya mastaa wakubwa kutoka bongoflevani wenye mafanikio makubwa kwa sasa hivi huwezi kuacha kumtaja Diamond Platnumz na pia ni mmoja kati ya mastaa wenye followers wengi kwenye mitandao…
PICHA 10: Hali ilivyo uwanja wa Taifa katika mageti ya kuingilia Yanga vs Simba
October 1 2016 ni siku ambayo mashabiki wa soka Tanzania watapa nafasi ya kuangalia mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba, huu ni mchezo wa kwanza wa…
Sekretarieti ya ajira imezungumza kuhusu taarifa za nafasi za kazi 1101 zilizosambaa
Baada ya kuwepo kwa taarifa za nafasi za kazi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zinazodaiwa kutolewa na Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma. Leo October 01 2016 Katibu wa…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo October 1 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Vinara wa vyeti feki wafichuka, Ofisi ya Bunge, TCRA kuburuzwa TAKUKURU
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 1 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=FrAsS_LEOxE ULIIKOSA HII YA CHADEMA KUAHIRISHA TENA MAANDAMANO…
VIDEO: Majibu ya Feza Kessy kuhusu kuwa mapenzini na Chid Benz
Mrembo kutoka Bongoflevani Feza Kessy ambaye ameshawahi kuzichukua headlines baada ya kushiriki shindano la Big Brother Africa leo October 1 2016 amejibu taarifa iliyokuwa ikimuhusisha Mrembo huyo kutoka na Mkali…
VIDEO: Diamond Platnumz ametaja gharama alizonunulia Nyumba South Afrika
September 23 2016 Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines baada ya kupost Nyumba ambayo aliandika kuwa ni zawadi kuwa Mpenzi wake ambaye ni Mrembo Zari, Baada ya Diamond Platnumz kupost Nyumba…