VIDEO: Aliyekatwa mkono na Baba yake kisa wizi shambani, asimulia ilivyokuwa
Mtu wangu September 30 2016 zimehappen stori nyingi sana nisingependwa upitwe na hii story iliyotokea Kenya, Kituo cha Citizen cha Nchini Kenya kimeripoti kutokea kwa taarifa za Baba mzazi kumkata…
VIDEO: Walichokifanya Dogo Janja na Madee kwenye stage ya Fiesta Moshi
Fiesta 2016 ni jukwaa la burudani linaloendelea kutembea kwenye mikoa mbalimbali Tanzania linalopambwa na mastaa mbalimbali kutoka bongoflevani kwenye jukwaa moja la burudani , Mtu wangu nakukutanisha na wakali wawili kutoka Bongoflevani Dodo Janja…
Magazeti ya Tanzania October 1, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter…
VIDEO: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alivyohamia na familia yake Dodoma
Headline kutokea Dodoma ni pamoja na hii ya Waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa kuhamia rasmi yalipo makao makuu ya nchi yaani Dodoma, hii inakuja siku kadhaa mara baada ya…
AUDIO: Msimamo wa waziri Nape kuhusu tiketi za electronics mchezo wa Yanga vs Simba
Jumamosi ya October 1 2016 soka la Tanzania litaingia katika historia mpya kutokana na mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba Jumamosi hii uwanja wa Taifa Dar…
Alichokizungumza Gavana wa BOT kuhusu hali ya Uchumi na Deni la Taifa
Leo September 30, 2016 Gavana wa Benki Kuu Tanzania Profesa Benno Ndulu ametoa taarifa ya hali ya ukuaji wa pato la taifa kwa nusu ya kwanza ya mwaka 2016 pamoja na…
PICHA 8: Waziri mkuu Majaliwa na familia yake walivyopokelewa Dodoma leo
Tunajua kwamba Rais John Pombe Magufuli alitangaza kwamba hivi sasa ni lazima serikali yake yote ihamie makao makuu ya nchi ambayo ni Dodoma, tukamsikia pia Waziri mkuu Kassim Majaliwa akitangaza…
Maneno ya Vodacom kuelekea mchezo wa Yanga na Simba October 1 2016
Akiongea na Ayo TV kwa niaba ya Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamni wakuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara, Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo,Nandi Mwiyombella,…
VIDEO: Kauli ya Prof Lipumba kuhusu nafasi yake CUF
Licha ya headlines za migogoro ya chama cha siasa CUF kuendelea kutawala kufuatia chama hicho kutangaza kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo Profesa Ibrahim Lipumba leo September 30 2016…
VIDEO: Walichokijibu CHADEMA kuhusu tuhuma za kuchochea mgogoro wa CUF
Wakati mgogoro wa chama cha wananchi CUF ukiendelea na huku ikielezwa moja ya chachu ya mgogoro huo ni kutoka chama cha demokrasia CHADEMA, leo September 30 2016 Mwenyekiti wa CHADEMA,…