Hizi ni taarifa mbaya kwa Chelsea kuhusu mpango wa kumsajili staa huyu …
Klabu ya soka ya Chelsea ambayo ilikuwa na matumaini kwa kiasi kikubwa kupata saini ya moja kati ya wachezaji wa kibrazil, January 19 imekataliwa kuuziwa mchezaji na klabu inayo mmiliki.…
Kwa mpenda soka kama ukiwahi kutoka kazini January 20 na 21, hizi ni sehemu za kwenda …
Kama kweli wewe ni mpenda soka hususani la Tanzania na Uingereza basi siku ya Jumatano na Alhamisi ya January 20 na 21, kama utawahi kutoka kazi inabidi uwahi uwanjani au…
Hii ndio sentensi inayoashiria mwisho wa maisha ya Yaya Toure Man City unakaribia …
Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya Man City ya Uingereza Yaya Toure amekuwa akiingia kwenye headlines mara kadhaa, baada ya kuhusishwa kuondoka Man City. January 19 wakala…
Kamanda wa Polisi Arusha ana matatu kuhusu tuhuma za Askari wake kubaka…
Hii stori imeandikwa na Magazeti mengi ya leo, inahusu tukio la mwanafunzi mmoja wa kike kubakwa Arusha na mtu ambaye anaitwa Raphael au jina maarufu ‘Osama‘, mtu huyo amedaiwa ni…
Pichaz 7 za nyumba ya kifahari ya mchezaji Golf tajiri duniani, aliyewapiku Tiger Woods na Phil Mickelson
Tulizoea kumsikia mkali wa Golf Tiger Woods ambaye amewahi kushinda mataji kadhaa makubwa ya mchezo huo duniani kuwa ndio mchezaji wa mchezo huo anayaeongoza kwa utajiri duninia. Kwa list mpya…
Mwanamke alivyokutwa juu ya paa kwenye jengo la Wizara ya Fedha…
Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikufahamika amekutwa katika mazingira ya kutatanisha juu ya paa la majengo ya Wizara ya fedha na mipango, Dar es salaam leo. Mwanamke huyo baada ya…
Hii ni mikakati ya Serikali ya Tanzania na Israel baada ya viongozi wake kukutana..
Rais John Magufuli leo amekutana na balozi wa Israel Yahen Vilan ikulu na kuzungumzia mikakati ya Tanzania kutaka kuwa na ukaribu zaidi na nchi hiyo. Katika taarifa iliyotolewa na Kaimu…
Picha 25 muonekano wa barabarani za Dar na mishemishe zake jan 19 2016
Kazi yangu ni kuhakikisha hakuna stori inayonifikia na nikashindwa kuisogeza kwako, leo ninazo hizi picha kutokea kona mbalimbali za jiji la Dar leo Jan 19 2016 na mishemishe zake zilivyokuwa…
REPEAT: Kama bado una maswali kuhusu gari ya Wema Sepetu, kuhama nyumba majibu yalitoka hapa.. (+Video)
Mrembo wa TZ mwenye headlines zake mpya kila siku, WemaSepetu kulikuwa na stori kwenye Mitandao mpaka Magazetini kwamba amenyang’anywa ile Range Rover ambayo alitangaza kujizawadia kwenye birthday yake mwishoni mwa…
Account ya twitter imemvutia D’banj kutangaza kumpatia ajira mrembo huyu …
The Big Boss wa DKMC Oladapo Daniel Oyebanjo ambaye wengi wamemzoea kama D’banj ametangaza kumpatia ajira mrembo aliyekuwa anasomea Management Information System kutoka Covenant University. D’banj ametangaza kumpatia Chidinma Ughamadu ajira…