Man United yapokonywa point mbili dakika 90 ya mchezo, cheki pichaz na video …
Mechi za Ligi Kuu Uingereza zimeendelea usiku wa January 12, kwa klabu vya Machester United kuwa mgeni wa Newcastle United katika dimba la St James’ Park, wakati Bournemouth walikuwa wenyeji…
Cheki pichaz za Party ya Samatta na zawadi aliyopewa na Serikali kwa kutwaa tuzo …
Headlines za Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani ya Afrika, bado inazidi kuleta furaha kwa wapenzi, mashabiki, watanzania na viongozi wa serikali kwa…
Hivi ni vitu vitano ambavyo vingeweza kutokea kama Messi na Ronaldo wangekuwa wanacheza timu moja …
Siku moja baada ya ushindi wa tuzo ya tano ya Ballon d’Or wa mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayaeichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi, ambaye alikuwa anashindana…
Video: Maamuzi ya Maalim Seif kuhusu uchaguzi wa Zanzibar
Jan 11 2016 Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif alikutana na waandishi wa habari na kutoa msimamo wake kuhusu uchaguzi wa Zanzibar na mengine mengi, Yote utayapata…
Top 10 ya Trace Tv ilivyokamilika leo Jan 12 2016
Tayari nimezikusanya ngoma kali 10 zilizochezwa Jan 12 2016 kupitia kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace Tv, kwanza nikukumbushe chart ya wiki iliyopita ilikuwa hivi:- 10.Drake-Hotline Bling, 9.Timaya Ft. Don…
Hii ndio heshima aliyopewa Mbwana Samatta na serikali ya Zanzibar …
Bado furaha ya watanzania na serikali kwa ujumla juu ya ushindi wa kihistoria wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe inazidi kushika kasi, tumeona mapokezi…
Huu ndio mpango ambao Adidas wangependa utokee kwa Pep Guardiola na Lionel Messi
Gazeti maarufu la michezo Hispania la Marca, January 12 limepamba headlines zake za gazeti kwa kumuandika kocha anayetajwa kuwa ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola na mshindi wa tuzo tano…
Baada ya Rais Magufuli, ni zamu ya Waziri Mkuu Majaliwa wodini kwa Mzee Sumaye (+Picha)
Magazeti ya January 12 2016 mengi yalibebwa na stori kuhusu ziara ya Rais Magufuli kwenda kimyakimya Hospitali ya Muhimbili kumjulia hali Mzee Frederick Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu. Hiyo ilikuwa ni…
Watu na ujasiri wao, cheki na jamaa kaiba nyoka na kumficha kwenye nguo ya ndani aliyovaa.. (+Video)
Hivi unaanzaje kuleta mzaha na nyoka mtu wangu ?! Eti nyoka unamuiba na bado unamficha kwenye nguo ya ndani uliyovaa ??? Mama mmiliki wa duka linalouza nyoka pamoja na wadudu…
Jipya la Dr. Shein kuhusu uchaguzi mkuu Zanzibar na mengine…(+Audio)
Leo Jan 12 2016 Zanzibar ilikuwa ikiadhimisha miaka 52 ya mapinduzi, ambapo Rais Dr. Ali Mohamed Shein alipata time ya kuwahutubia wananchi wake na haya ndio aliyoyalenga zaidi. Unataka kutumiwa MSG…