Kilichosemwa na Basata kuhusu kufungiwa kwa video kadhaa hapa Bongo ikiwemo ya Snura.
Siku kadhaa zilizopita kupitia millardayo.com kuna taarifa zilitoka kuhusu kufungiwa kwa video ya Jux ambayo haijaonyeshwa kwenye TV za Tanzania siku kadhaa tu baada ya kutoka. Stori nyingine ikafata kuhusu…
Unajua Januzaj amesema nini kuhusu malengo yake na Juan Mata?
Ikiwa leo ni siku ambayo anatimiza miaka 19 tangu kuzaliwa kwake, kinda la Manchester United Adnan Januzaj ameongelea malengo yake katika klabu hiyo. Adnan ambaye alianza rasmi kuichezea timu ya kwanza ya Man…
Hizi hapa dakika 16 za kusikiliza magazeti yakisomwa redioni.
Kama kawaida ya millardayo.com ni kuendelea kukuweka karibu tu na kitu ulichokimis kwa bahati mbaya labda pengine kazi zilikubana kwa muda huo,naomba uzipokee hizi dakika 16 usikilize magazeti yakichambuliwa redioni…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 05 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Taarifa kuhusu hukumu ya Chris Brown na kesi ya kumshambulia mtu.
Chris Brown akiambatana na girlfriend wake Karrueche Tran pamoja na wakili wake wameingia kwenye chumba cha mahakama huko L.A baada ya ushahidi wa kesi inayomkabili kupitiwa. Kesi hiyo ilikuwa inasema…
Chukua muda wako kujua vitu kuhusu leo February 5 na zaidi.
Leo ni siku ya tano ya mwezi wa pili kwa mwaka 2014 na unaweza kuchukua dakika chache kujua vitu hivi kuhusu leo pamoja na vitu vingine ambavyo vinaweza kuwa ni…
Msikilize Mbwiga leo Februay 04
Muda wa udambwi dambwi ni huu,msikilize Mbwiga wa Mbwiguke leo kidoogo anakukumbusha kuhusu wachezaji waliokua wanasumbua kipindi cha nyuma msikilize Mbwiga pia kupitia 88.1 Clouds Fm Mwanza. Bonyeza play kusikiliza.
Umekisikia walichokizungumza Jokate na Wema baada ya tukio la Arusha kipo hapa.
Kama ni mfatiliaji mzuri wa maisha ya mastar hawa wa Tanzania bila shaka utakuwa umekiona au kukisikia kilichotokea Arusha kwenye tamasha la Divaz Night with Mirror ambalo wawili hawa waliwashangaza…
Unajua kwanini Berbatov alichagua kwenda Monaco, amtaja aliyemshawishi
Dimitar Berbatov amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu uhamisho wake wa kutoka Fulham kujiunga na Monaco akisema kwamba mchezaji mwenzie wa zamani wa Manchester United Patrice Evra alisaidia katika kumshawishi…
Namna vijana wa mpaka wa Tanzania na Malawi wanavyoutumia mto huu kuvusha bidhaa za magendo.
Taratibu za vijana wengi waishio kwenye mipaka ya nchi huwa ni pamoja na kujishughulisha na biashara za magendo ambazo zimekua zikipigwa vita na mataifa mbalimbali,Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchembe…