Majibu ya Sober House kuhusu maendeleo ya msanii Ray C…..
Usiku wa June 16 2016 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa longtime Bongoflevani Rehema Chalamila au Ray C ilisambaa mitandaoni akiwa anachukuliwa na gari la Polisi Kinondoni Dar es salaam ambapo baadae…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania August 6 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Salam za Wema Sepetu kwa mtoto wa Diamond Platnumz ‘Tiffah’
August 6, 2016 ni siku ambayo anazaliwa mtoto wa staa wa kutokea bongo fleva Diamond Platnumz ambapo pamoja na watu wengi kumtakia kila la kheri yupo pia mrembo Wema Sepetu ambaye…
Ambwene Yessaya kuachia single mbili mpya kwa siku moja?
Ni headlines za mkongwe mwenye vyeo na heshima yake kwenye game ya Bongofleva, Ambwene Yessayah a.k.a AY ambae leo Agosti 5, 2016 amefunguka kuhusiana na project mbili anazotarajia kuachai hivi karibuni mwezi huu…
Magazeti ya Tanzania August 6, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 6: Magari ya zaidi ya Tsh milioni 300 waliyopewa wachezaji wa Leicester City
Klabu ya Leicester City ya Ligi Kuu England ambao ni Mabingwa wa Ligi Kuu England msimu uliopita wamepewa zawadi za magari aina ya BMW I8s kutoka kwa mwenyekiti wao Vichai…
VIDEO: Mtanzania aliyesifiwa na Rais Obama arejea nchini, atoa neno kwa Serikali
Rais Barack Obama wa Marekani alikutana na vijana mbalimbali kutoka bara la Afrika ikiwa ni mpango wa serikali yake kila mwaka toka mwaka 2014 kukutana na vijana hao wanaohusika na kuivusha…
VIDEO: Alichokisema Rebeca Gyumi baada ya serikali kutaka kukata rufaa ndoa za utotoni
Mwanzoni mwa mwaka 2016 Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali, Msichana Initiative linalotetea haki za wasichana kupata elimu, Rebeca Gyumi alifungua shauri mahakamani kupinga kifungu cha 13 na 17 cha sheria ya ndoa…
PICHA 8: Binti wa Rais Obama afanya kazi mgahawani
Sasha Obama, binti wa Rais wa Marekani Barack Obama ameingia kwenye headline baada ya baadhi ya picha zake kusambaa mitandaoni zikimuonesha akiwa kwenye mgahawa mmoja amevalia sare ya hoteli akifanya kazi.…
VIDEO: Tundu Lissu alivyosindikizwa na Polisi mahakamani Dar
August 5 2016 Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu alifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam na kusomewa mashitaka matatu likiwemo la kutoa kauli za uchochezi nje…