Mahakama Dar ilivyotumia dakika 315 kuamua shitaka la Tundu Lissu leo
August 5 2016 Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu alifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam na kusomewa mashitaka matatu likiwemo la kutoa kauli za uchochezi nje…
PICHA 9: Rasmi Simba imeingia mikataba na mastaa watano wa kimataifa akiwemo Mavugo
Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba ambayo mwaka huu inajiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu soka Tanzania bara sambamba na sherehe za miaka 80 ya klabu hiyo, ambayo itaadhimishwa…
AUDIO: Jerry Muro kaongea kwa mara ya kwanza leo August 5 baada ya kufungiwa na TFF
Baada ya July 7 2016 kamati ya maadili ya shirikisho la soka Tanzania TFF kutangaza kumfungia mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Jerry…
VIDEO: Vigezo vya kujiunga na record label ya WCB ya Diamond Platnumz
Inawezekana kukawa na vijana wengi wanaopenda au wana ndoto siku moja ya kupata nafasi ya kusainiwa katika record label ya Wasafi Classic Baby (WCB) inayomilikiwa na msanii wa Bongofleva Diamond…
UEFA wametaja mtihani wa mwisho kwa Genk ya Samatta kucheza Europa League hatua ya Makundi
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA leo August 5 2016 limechezesha droo ya mechi za play offs kwa ajili ya mechi za Ligi ya Europa League, UEFA limechezesha droo ya…
UEFA imetangaza TOP 3 ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora Ulaya, Messi out
Shirikisho la soka barani Ulaya licha ya kuchezesha droo ya mechi za play offs za Ligi ya Mabingwa Ulaya, walitangaza majina matatu ya wachezaji wa waliofanikiwa kuingia katika kinyang'anyiro cha…
Katika mwaka mpya wa fedha 2016/2017 TRA wameanza kwa kuzikusanya hizi…..
Baada ya bunge la bajeti kumalizika hivi karibuni ambapo Serikali katika mwaka wa fedha 2016/2017 inapanga kutumia jumla ya shilingi trilioni 29.54 kwa matumizi ya kawaida na maendeleo. Shughuli ya…
Ratiba ya mechi za Play offs Ligi ya Mabingwa Ulaya 2016/2017
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA leo August 5 2016 limechezesha droo ya mechi za play off kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, UEFA limechezesha droo ya…
Ninayofuraha kukuletea hii video mpya ya Christian Bella ‘Nishike’
Christian Bella amerudi tena kwenye headlines za burudani baada ya kuachia rasmi video ya single yake mpya iitwayo Nishike.ukishamaliza kuitazama hii video sio mbaya ukituachia na comment yako mkali huyo…
Wataalamu wametaja aina hizi tano za vyakula ambavyo ni hatari kiafya
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…