VIDEO: List ya mastaa 10 wa soka wanaotabiriwa kuja kutwaa Ballon d’Or
Tuzo ya mchezaji bora wa dunia maarufu kama Ballon d'Or ni tuzo ambayo sio rahisi kwa kila mchezaji kuweza kushinda, kwani inahitajika uwe na uwezo mkubwa ili uweze kupigiwa kura…
AUDIO: Milion 60 zimetajwa baada ya mbunge Jumaa Aweso Kushinda kesi
July 28 2016, Mahakama kuu kanda ya Tanga ilitangaza maamuzi rasmi ya kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso wa Chama cha mapinduzi (CCM)…
VIDEO & PICHA 5 ; ndege yenye lifti ndani itakayotengenezwa marekani
Kadri sayansi na teknolojia inavyozidi kukua leo July 29 2016 nikakutana na hili ambalo nisingependa likupite mtu wangu, CNN imetaja ndege yenye lifti ndani itakayotengenezwa na kampuni ya Marekani ya windspeed. Lifti hiyo…
AUDIO: Rais Magufuli ajipanga kupiga mnada majengo ya serikali
Baada ya Rais John Magufuli kutoa ahadi ya kuhamia makao makuu ya nchi Dodoma, leo July 29 2016 wakati akizungumza na wananchi wa Manyoni mkoani Singida amesisitiza nia yake hiyo na…
VIDEO: ‘Watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’- JPM
Siku mbili baada ya Chama cha Demokrasia na maendeleo 'CHADEMA' kutangaza mikakati mitatu ya kupinga ilichokiita ukandamizaji wa haki na demokrasia na kuitangaza siku ya September mosi mwaka kuwa ni…
Video 6 za bongo zilizopata airtime Trace TV na MTV Base
Nifahari kubwa kuona ngoma za nyumbani zinapata airtime katika vituo vikubwa vya TV kama Trace TV na Mtv Base leo July 29 2016 zimetajwa ngoma 6 za kitanzania ambazo ni 'Niroge'wa Vanessa mdee,…
VIDEO: TRL waizungumzia ajali ya treni na basi la UDA iliyoua mmoja
Usiku wa July 26 2016 eneo la Kariakoo Kamata Dar es Salaam iliripotiwa kutokea ajali ya basi la UDA lenye namba za usajili T 696 CVP linalofanya safari zake kati…
VIDEO: ‘Hawakuingia kwa sababu walijua nao ni part ya hao mafisadi’ -JPM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 29 2016 ameanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani…
VIDEO: CHAWATA wafunguka kuhusu kuondolewa kwa ombaomba Dar
Jijini Dar es salaam kumekuwa na zoezi la kuwaondoa ombaommba ambalo limekuwa likitekelezwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam ikiwa ni utekelezaji wa agizo la kuwaondoa…
VIDEO: Jibu la Drogba kwa nini anaifunga Arsenal kila mechi
Mshambuliji wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa anaichezea klabu ya Chelsea ya England Didier Drogba, ameendeleza rekodi yake ya kuifunga Arsenal katika kila mchezo anaocheza dhidi yao, Drogba amecheza dhidi…