VIDEO: Masharti magumu mtoto mwenye betri moyoni, TAKUKURU yaivaa Polisi ufisadi wa Bil 60
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 29 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=LHSUHMBxk98 ULIKOSA WALICHOKIJIBU CCM BAADA YA CHADEMA KUTAKA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 29, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Vichwa 9 vya Habari kwenye TV za Tanzania July 28 2016
Nikawaida yangu kila siku kukusogezea habari zilizosomwa kwenye TV za Tanzania, Mtu wangu kama hukupata time ya kutazama taarifa ya habari ya July 28 2016 usijali millardayo.com inakupatia fursa ya…
VIDEO: Jamaa aliyefunga goli bora la dunia 2015, kaamua kustaafu soka
Mshindi wa tuzo ya goli bora la dunia kwa mwaka 2015 Wendell Lira ambaye ni raia wa Brazil ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 27, umri ambao kwa kawaida…
Ushindi mwingine wa KRC Genk ya Samatta Europa League leo July 28 2016
Usiku wa July 28 klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji inayochezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta ilishuka tena dimbani kucheza mchezo wake wa…
PICHA: Kuhusu msaada walioutoa Clouds Media Group leo July 28 2016
Kwenye zile stori za siku ambazo zimepewa nafasi ni pamoja na hii ya Clouds Media Group (CMG) kutoa hundi ya pesa za Kitanzania Milion kumi kusaidia matibabu kwa watoto wenye…
PICHA: Label ya Roc Nation ya Jay Z imemkaribisha rasmi Tiwa Savage
June 8 2016 headlines za msanii Tiwa Savage kutoka Nigeria katika record label ya Mavin inayomilikiwa na Don Jazzy kusaini katika record label ya rapper Jay Z ziliingia kwenye headlines,…
Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu raia wa china kufanya unyanyasaji Geita
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Nchemba amewasili mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, kubwa ikiwa ni kufuatia taarifa za mateso na mauaji yaliyodaiwa kufanywa na raia…
Kesi ya wanaodaiwa kuiibia serikali mil 7 kwa dakika imeendelea leo
Kesi ya wafanyabiashara maarufu Mohamedi Yusufali na Samuel Lema wanaotajwa kuiibiwa serikali milioni 7 kwa dakika imeendelea leo July 28 2016 mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kwa kusikiliza hoja iliyotolewa…
VIDEO: Walichokijibu CCM baada ya CHADEMA kutaka maandamano
July 28 2016 Chama cha mapinduzi (CCM) kikiongozwa na msemaji wake Christopher Ole Sendeka kimewataka watanzania wote kupuuza maandamano yaliyopangwa kufanywa na UKAWA kwakuwa ni ishara ya kuchochea uvunjifu wa…