Kitu Jackline Wolper kaongea toka kajiunga na CCM… kazisoma comments zao
Ilijulikana mwigizaji wa movie za bongo Jackline Wolper alikua mfuasi wa chama cha CHADEMA ambapo alimpigia sana debe mgombea wake wa urais Edward Lowassa kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Kilichomfanya…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 27, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Clichy ametaja chakula walichokatazwa kula na Pep Guardiola
Ni siku moja imepita toka kocha wa Man United Jose Mourinho aripotiwe kutangaza kuwazuia wachezaji wake kucheza game za Pokemon Go muda wote na badala yake wanaruhusiwa kucheza saa 48…
VIDEO: Eneo ilipotokea ajali ya basi la UDA na Treni July 26 DSM
Usiku wa July 26 2016 eneo la Kariakoo Kamata Dar es Salaam iliripotiwa kutokea ajali ya basi la UDA lenye namba za usajili T 696 CVP linalofanya safari zake kati…
VIDEO: Hawa ndio wasanii wawili wanaosimamiwa na Linex
Baada ya list ya wakali kama Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz, Navy Kenzo na wakali wengine kutoka Bongo fleva ambao wanasimamia wasanii,taarifa hii ikufikie mtu wangu Leo June 27 2016 mkali…
Vichwa 7 vya habari kwenye TV za Tanzania July 26 2016
Mtu wangu kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya July 26 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya kutazama…
VIDEO: Magoli bora ya muda wote yaliyowahi kufungwa kwa njia ya faulo
Mtu wangu wanguvu wakati huu ambao unasubiria kuona klabu yako itasajili staa gani kwa ajili ya msimu ujao, naomba nikusogezee video ya magoli bora yaliyowahi kufungwa kwa njia ya faulo,…
VIDEO: Baada ya kutoka Universal Mayunga katangaza label yake mpya
Star kutoka bongo flevani Mayunga ametangaza lebel yake mpya baada ya kutoka chini ya usimamizi wa lebel ya Universal Rec ya nchini Marekani, amekutana na Ayo TV na millardayo.com na…
VIDEO: Tiwa Savage alivyotumbuiza New York.. One Africa Music Festival
Ni July 22, 2016 ambapo Diamond Platnumz alikua msanii pekee kutoka Afrika Mashariki aliyealikwa kutumbuiza kwenye tamasha kubwa la muziki wa Afrika lililofanyika kwa mara ya kwanza New York Marekani kwenye…
Aliyetajwa kuiibia Serikali milioni 7 kwa dakika apandishwa tena Kizimbani leo
Mfanyabiashara maarufu aliyetajwa na Rais John Magufuli kuwa anajipatia milioni 7 kila dakika, Mohamed Yusufali amepandishwa tena kizimbani leo July 26 2016 mahakama ya Kisutu akiwa na mfanyabiashara maarufu wa…