Safari ya Yanga nusu fainali ya CAF imezidi kuwa finyu baada ya kipigo tena
July 26 2016 ilikuwa ni siku nyingine kwa wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika, klabu ya Dar es Salaam Young Africans kucheza mchezo wake…
PICHA 3: Zitto na Maalim Seif walivyokutana kwenye mkutano Marekani
Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad wamekutana Katika Mkutano Maalum wa Viongozi wa Kisiasa Ulimwenguni (International…
Wakala amesitisha mpango wa Pogba kufanya vipimo vya afya Man United, kisa?
Gazeti la Hispania la AS leo July 26 2016 limeandika stori mpya kuhusiana na kiungo wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea Juventus Paul Pogba kujiunga na Man United ya England, AS…
Jengo la wamachinga Dar limefikia wapi? Majibu yako hapa….
Ni july 26,2016 ambapo Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alikutana na waandishi wa habari kuzungumzia kuhusu barua ya agizo la waziri wa nchi TAMISEMI juu ya…
Ishu ya jamaa anayewatoa mabinti wa kike usichana Malawi imeifikia Serikali
Raia mmoja wa Malawi alionekana katika habari moja ya BBC akihusishwa na tambiko la usafishaji wa wasichana wadogo kupitia kushiriki ngono nao amekamatwa. Eric Aniva amekamatwa kufuatia agizo la Rais…
AudioMPYA: Julio Batalia katuletea hii single yake mpya ‘WABO’
Ni july 26, 2016 ambapo mshiriki wa shindano la Big Brother Stargame 2012 na msanii wa Bongo Fleva, Julio Batalia ametuletea hii single yake mpya iitwayo 'WABO'. Unaweza ukabonyeza HAPA…
DONE DEAL: Juventus wamekamilisha usajili wa Gonzalo Higuan
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayeichezea klabu ya Napoli ya Italia kuhusishwa kujiunga na klabu ya Juventus ya Italia, leo July 26…
Maamuzi ya Serikali ya Congo baada ya Koffi Olomide kurudi
Mwanamuziki wa Congo Koffi Olomide ambaye alikuwa Nairobi Kenya July 22 akiwa na wanamuziki wake pamoja na dancers wake kwa ajili ya show, wakati wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata…
Mkwasa ameita wachezaji 24 Taifa Stars, bila uwepo wa Samatta na Ulimwengu
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Charles Boniface Mkwasa leo July 26 2016 ametangaza kikosi cha wachezaji watakaoanza maandalizi ya kucheza mchezo wa kukamilisha ratiba wa michuano ya AFCON…
VIDEO: Mawakili Arusha wameandamana kuelekea makao makuu ya jeshi la polisi
Hatua ya kukamatwa na kufunguliwa mashtaka wakili mwandamizi na ofisa wa kituo cha sheria na haki za binadamu Arusha, Shilinde Ngalula kumechukua sura mpya baada ya mawakili Chama cha wanasheria Tanganyika…