PICHA 15: Boti zinazotumia umeme wa mionzi ya Jua (Solar)
Mtu wangu wa nguvu sayansi na teknolojia inazidi kukua kwa kasi na katika pitapita zangu leo June 21 2016 nikakutana stori ya boti za solar . Boti hizi kutumia umeme…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania July 21 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Lowassa aibua mkakati mpya Urais 2020, Vyeti waliohitimu vyuo vikuu kijanja kufutwa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 21 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=UY8KviMqRCE ULIKOSA HII YA WATANZANIA KUUAWA NA WENGINE…
Mambo matano ya Alikiba na Baraka Da Prince kuvamiwa na Majambazi South Afrika
millardayo.com na AyoTV zilipata taarifa kuhusu waimbaji wa muziki wa bongofleva Alikiba na Baraka Da Prince ambao wote wako chini ya lebo ya Rockstar 4000, kuvamiwa na Majambazi wenye silaha…
Lulu kajibu swali kuhusu ile pete aliyoipost Instagram akiwa kaivaa
Mwigizaji wa bongo movie Elizabeth Michael ‘Lulu’ alizichukua headlines kwa kupost picha akiwa kavaa pete ya uchumba na kuandika >>> 'Asante Mungu wangu kwa neema zako ambazo hazijawahi kuniacha, maana…
Tunda Man kaeleza sababu za kutofanyika kwa ile kolabo yake na Fally Ipupa
Mwaka 2015 msanii wa bongofleva Tunda Man alisema kuwa mwaka 2016 tutegemee wimbo wake alioshirikiana na staa wa muziki Afrika Fally Ipupa kutoka Congo DRC lakini mpaka July hii bado ngoma haijatoka.…
TBT: Tazama picha za utoto za Messi, Beckham, Wilshere, Lampard, Tevez na Theo Walcott
Mtu wangu wa nguvu alhamisi ya July 21 2016 naomba nikuletee TBT Pichaz za mastaa wa soka ambao wamekuwa wakifanya vizuri katika soka kwa muda mrefu, ila leo naomba nikusogezee TBT picha…
Watanzania 7 waliotajwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2016 Texas Marekani
Tarehe 15 October 2016 zitatolewa tuzo za AFRIMMA 2016 kwa mara nyingine tena, ni tuzo zinazotolewa kila mwaka Dallas Texas Marekani ambapo zinahusisha zaidi Wasanii mbalimbali wa muziki waliofanya vizuri…
VIDEO: Usioyajua kuhusu mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania bara 2015/2016
Usiku wa July 17 2016 kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kwa kushirikiana na kamati ya tuzo ya TFF ilitoa jumla ya tuzo 13 kwa timu, refa na wachezaji…
Unachotakiwa kujua kuhusu zile nyumba za Wastara zilizopigwa X
Bomoabomoa ilianza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye baadhi ya maeneo Dar es salaam hasa ya mabondeni na maeneo ya kando na mto Msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya kesi kufunguliwa…