VIDEO: JPM afichua ufisadi wa bil 60 Jeshi la polisi, Wakurugenzi NSSF wasimamishwa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 19 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=tvUjrxz5HTU ULIKOSA HII YA K'NDONI KUJA NA MFUMO…
EXCLUSIVE: Suma Lee kataja biashara yake baada ya kuacha Bongo Fleva…..
Miongoni mwa hits zilizokuwa zikifanya vizuri miaka iliyopita kutoka kwa mkali wa bongofleva Suma Lee ni pamoja na Hakunaga ambayo iliingia kwenye list ya single kali zilizoanza kuchezwa zaidi ya mara tatu kwa siku mpaka…
AudioMPYA: Yamoto Band wanatualika kuisikiliza hii single yao mpya
Baada ya Yamoto Band kufanya vizuri kwenye single waliyomshirikisha Ruby iitwayo 'Suu', sasa time hii wanatualika kuisikiliza hii single yao mpya iitwayo Mijudo, Mtu wangu usisahau kuniachia comment yako hapa na wakali…
EXCLUSIVE: Wema kuhusu App yake na mipango yake mipya….(VIDEO)
Baada ya kuzindua Application yake siku kadhaa zilizopita, Wema Sepetu amefunguka kuhusu faida na mipango yake mipya. Staa huyo aliipata heshima Ayo TV na kusema...'Inafanya vizuri kwasababu subscribe wanazidi kuongeza…
AUDIO: Taarifa za usajili wa Mbeya City, vipi wana mpango na Juma Kaseja?
Klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya kwa sasa imeweka kambi Matema Beach Kyela Mbeya kwa muda kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu soka Tanzania bara,…
TOP 5 ya mastaa wa soka ambao ni maarufu mitandaoni kuliko uwanjani
Mara nyingi imezoeleka wachezaji kupata umaarufu kutokana na kazi zao nzuri wanazofanya uwanjani na sio vinginevyo, July 19 mtu wangu wa nguvu nimekutana na Top 5 ya mastaa wa soka ambao…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 19, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Jibu la Zlatan kwa Cantona baada ya kuambiwa hawezi kuwa mfalme Man United
Jina la Eric Cantona sio geni masikioni mwa mashabiki wa soka ulimwenguni hususani mashabiki wa Man United, Eric Cantona ni miongoni mwa wachezaji nguli wa Man United ambao wamejijengea heshima…
Mshikaji wake Samatta alivyotua Leicester City na kumzungumzia Jamie Vardy
Mashabiki wa klabu ya Leicester wengi wangependa kusikia habari za mshambuliaji wao Jamie Vardy anasalia kikosini na kuendelea kukitumikia kikosi chao kwa msimu ujao, Ahmed Musa ambaye anacheza safu ya…
Zidane amegombana na Rais wa Real Madrid, kisa ?
Julya 19 2016 headlines za kocha na staa wa zamani wa Real Madrid Zinedine Zidane zimekuwa stori kubwa mitandaoni, Zidane anaripotiwa na mtandao wa dailyamail.co.uk kuwa ametofautiana na Rais wa…