Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 18, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 22: List ya washindi wa tuzo 13 za Ligi Kuu Tanzania bara 2015/2016
Usiku wa July 17 2016 kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom ambayo ndio wadhamini wakuu wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, walitangaza na kutoa tuzo 13 kwa wachezaji, refa…
Taarifa kamili kuhusu habari ya Rais Magufuli kumteua Jerry Murro
Baada ya taarifa kuenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Rais John Pombe Magufuli amemteua Jerry Murro ambaye alikuwa afisa habari wa Yanga kuwa msaidizi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, kurugenzi ya…
Pichaz za Usiku wa utoaji wa tuzo za ZIFF kilivyohappen Zanzibar..
Usiku wa July 16 ulikua maalum kwa ajili ya utoaji wa tuzo mbalimbali kwenye upande wa filamu na tuzo hizi zilihusu vipengele mbalimbali vikiwemo kumtambua Muigizaji bora wa kike upande…
VIDEO: Cheka kidogo na JK comedian alivyowaigiza sauti za original comedy
JK Comedian ni mchekeshaji ambaye amebarikiwa kipaji cha kuweza kuigiza sauti za watu mbalimbali wakiwemo mastaa wa Tanzania, leo katuonyesha ubora wake kwa kuziigiza sauti za wachekeshaji wa kundi la…
Rais Magufuli kafanya uteuzi mwingine leo july 17 2016
July 17 2016 headline kutoka Ikulu Dar es salaam ni pamoja na hii Rais John Pombe Magufuli kumteua Profesa Longinus Rutasitara kuwa makamu mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya usafiri…
TCU yatoa sifa mpya kujiunga na vyuo vikuu
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Saa 120 za panga la Magufuli CCM, Ukata unavyowatesa madada poa Dar
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 17 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=Q0Fxl8KxrpI ULIKOSA VITU HIVU VITATU ALIVYOPIGA MARUFUKU RC…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 17, 2016 Kwenye, Hardnews na michezo
July 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Yanga vs Medeama SC July 16 2016, Full Time 1-1
July 16 2016 Yanga ilicheza mchezo wake wa tatu wa Kundi A wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya Medeama SC ya Ghana, katika mchezo huo Yanga walilazimishwa sare…