Mastaa Fid Q, Gabo na wengine wametangazwa washindi wa ZIFF 2016
July 16 2016 tamasha la Zanzibar International Film Festival ‘ZIFF’ limefanyika Zanzibar huku likiwakusanya watu kutoka mataifa mbalimbali duniani, hili ni tamasha ambalo limekuwa likijikita zaidi katika kukuza sanaa ya filamu…
VIDEO: Wanafunzi elimu ya juu walivyotoa masikitiko yao kwa bodi ya mikopo
Kamati ya mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote nchini…
Kabla ya kutolewa tuzo,haya ni machache ya kufahamu kuhusu ZIFF 2016…
Kwa kipindi cha Miaka 19 mfululizo miongoni mwa matamasha makubwa yanayokusanya watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti Duniani ni pamoja na tamasha la Zanzibar International Film Festival ‘ZIFF’ ambalo hili limejikita…
Yanga imelazimishwa sare dhidi ya Medeama SC uwanja wa Tifa DSM
July 16 2016 ilikuwa ni zamu ya wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa klabu ya Dar es Salaam Young Africans kucheza mchezo wao wa tatu wa Kundi A…
Wanafunzi elimu ya juu watoa saa 72 kwa bodi ya mikopo
Kamati ya mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote nchini…
VIDEO: Uzinduzi wa filamu mpya ya mwigizaji Kajala ‘Sikitu’ Dar es Salaam
Mwigizaji wa filamu Kajala Masanja (July 15) amezindua filamu yake mpya iitwayo ‘Sikitu’.Uzinduzi huo umefanyika Quality Center (Movie Theater) Dar es Salaam kuhudhuriwa na waigizaji wenzake pamoja na wadau wa filamu…
AUDIO: Basata kuhusu kuufungia wimbo wa Nay wa Mitego ‘Pale Kati’
Ni July 16, 2016 ambapo Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetoa rasmi tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego uitwao PALE KATI. Akizungumza na millardayo.com…
Rais Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa serikali yumo pia Mrema
July 16 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali na pia…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania July 16 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Balozi Sefue avunja ukimya, Upasuaji wa kihistoria wafanyika Tanzania
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 16 2016 ziko hapa kwenye hii video https://www.youtube.com/watch?v=5sgkwTHQAvk KWA MARA YA KWANZA MUHIMBILI IMEWEZA KUWEKA…