VideoMPYA: Ile video ya Joh Makini na Mnigeria Chidinma ndio hii imetoka
Ni mwanahiphop kutoka Tanzania Joh Makini kwa mara nyingine tena kwenye TV zetu, katuletea brand new video ya single yake inaitwa Perfect Combo ambayo kamshirikisha mwimbaji maarufu wa Nigeria anaitwa…
TBT: Picha za utoto za Kaka, Reina, Valdes, Xavi na Steven Gerrard
Mtu wangu wa nguvu alhamisi ya July 14 2016 naomba nikuletee TBT Pichaz za mastaa wa soka ambao wamekuwa wakifanya vizuri katika soka kwa muda mrefu, leo July 14 nakusogezea…
Naibu waziri Masauni kuhusu maafisa zimamoto wanaotoa sababu za kizembe
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumza na askari na maafisa wa Jeshi la zimamoto na uokoaji wa Mkoa wa Mwanza alipofanya ziara mkoani humo…
Waziri Mkuu mstaafu, Sumaye arejesha fomu za uenyekiti CHADEMA
Leo July 14 2016 Waziri mkuu mstaafu wa serikali ya awamu ya tatu Frederick Sumaye amerudisha fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' kanda…
AUDIO: Mbwa adaiwa kuzaa nguruwe Iringa
Yawezekana kabisa kuna matukio umeshawahi kuyasikia au hata kuyashuhuduia mwenyewe na yakakushangaza, basi hii pia liongezee kwenye hayo mengine, Hili ni tukio lililopata airtime kwenye Hekaheka ya Clouds fm leo…
List mpya ya viwango vya FIFA duniani imetoka leo July 14 2016, Tanzania je?
Ni kawaida kwa shirikisho la soka duniani kote maarufu kama FIFA, kutoa viwango vya soka kila baada ya kipindi fulani katika mwaka, leo July 14 2016 shirikisho hilo limetanza…
‘Biashara ya hoteli yatikisika, wamiliki wazibadili matumizi’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Rais Magufuli amwahidi kazi Meya UKAWA, JKT, Magereza wamkera
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 14 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=usCjDw0OELs ULIKOSA HII YA POLISI KUHUSU TETEMEKO LA…
PICHA 6: Mapumziko ya Ronaldo akiwa na familia yake Ibiza Hispania
Tunajua hiki ni kipindi ambacho wachezaji soka duniani kote wanamalizia mapumziko ya likizo zao za soka baada ya Ligi zao kumalizika na sasa wanajiandaa kwa ajili ya msimu mpya wa…
EXCLUSIVE: Young Killer kakubali kujiunga lebo ya WCB?
Hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kuwa huenda Young Killer atakuwa miongoni mwa wasanii atakayeungana na timu ya WCB. Sasa July 14, 2016 Ayo TV ilimpata Young Killer na kueleza…