VIDEO: Wateule 185 wamkosesha usingizi JPM, Mfanyabiashara wa mil 7 kwa dakika mahakamani
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 13 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=ohHO3e_NVaA ULIKOSA HII YA RAIS MAGUDULI KUELEZA AMBAVYO…
AudioMPYA: Snura anatualika kuisikiliza hii single yake mpya ‘Shindu’
Zimepita siku kadhaa tangu msanii wa Bongo Fleva, Snura apate misuko suko na single yake iitwayo 'Chura' baada ya Serikali kusitisha wimbo huo kutoonekana kwenye vituo kwasababu haupo kimaadili ya kitanzania.…
VIDEO: Mbunge Profesa Jay alivyosuprise watu kwenye show ya Belle 9 Morogoro
July 7 2016 mwimbaji wa bongofleva Belle 9 alitumia time yake kwenye stage usiku wa EID Pili nyumbani kwao Morogoro na kupewa escort pia na mastaa wengine wa Bongofleva kwenye jukwaa…
EXCLUSIVE: Lina kuhusu EX wake kuoa mwanamke mwingine…
Ni July 13, 2016 ambapo Staa wa Bongo Fleva, Lina Sanga amefunguka kuhusu Ex wake kufunga ndoa na mwanamke mwingine. Kupitia Ayo TV alifunguka ya moyoni na kusema...'Mimi nina kitu…
EXCLUSIVE: Faiza kaeleza historia ya kukutana na sugu, sababu za kuachana
Aliyekuwa mke wa Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye pia ni msanii wa filamu, Faiza Ally amefunguka na kuelezea historia yake jinsi alivyokutana na Sugu mpaka sababu iliyopelekea kutengana kwao. 'Kwanza mimi…
VideoMPYA: Berry Black anayofuraha kutuonesha hii video mpya ‘Kiganja’
Berry Black ni miongoni mwa wasanii waliokuwa kimya kwa muda mrefu kutosikika kwenye headlines za Bongo Fleva sasa hapa katuletea hii video ya single mpya iitwayo Kiganja. Ukishamaliza kuitazama video…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 13, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Mo Music kazungumza haya kuhusu uongozi wake uliopita….
Kama utakuwa unakumbuka Mo Music hivi karibuni aliingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutangaza kwamba ameachana na menejimenti yake iliyokuwa ikisimamia kazi zake. Sasa Ayo TV imemtafuta na kumuuliza sababu…
Mabibi na Mabwana Shaa katusogezea hii single mpya ‘Sawa’…..
Mwimbaji Malkia wa Uswazi Tanzania, Shaa anaziandika headlines leo kwenye kurasa za burudani! Tarehe 13 July mwaka 2016 kwa kuachia single yake ya ‘Sawa' umetayarishwa na Producer Shriko kutoka studio za Mkubwa…
Henry kaacha kazi Arsenal kisa kocha Arsene Wenger
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Thierry Henry ambaye amestaafu soka na kuingia kwenye kazi ya ukocha katika klabu yake ya zamani ya Arsenal, Juy 12 2016 ameamua kutangaza maamuzi magumu…