PICHA 6: Wachezaji wa Yanga walivyotoa zawadi za jezi na pikipiki
Timu ya Yanga inayojiandaa na mchezo wake wa tatu wa Kombe la shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana, Jumapili July 10 ilitembelea kwa mdhamini wao kampuni ya Quality Group kwa…
VIDEO: Kauli ya Mbowe kuhusu BAVICHA kwenda kuzuia mkutano wa CCM
Baada ya baraza la vijana wa CHADEMA 'BAVICHA' kuwa na mkakati kuzuia mkutano mkuu wa CCM uliopangwa kufanyika Dodoma kwa kuandaa vijana 5000 kutoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kuzuia mkutano…
Magonjwa sita yanayosumbua Taifa yametajwa, matatu ya kuambukiza
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: CHADEMA waishia rumande Dodoma, Lowassa aja kivingine mikutano ya UKAWA
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 10 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=u8dIRbI62Bs ULIKOSA HII KAULI YA LOWASA KUHUSU CHADEMA…
PICHA 16: Kilivyohappen kwenye usiku wa Black Tie, Wema na Idris ndani…..
Mrembo kutoka kiwanda cha Filamu nchini Tanzania Wema Sepetu July 9, 2016 aliungana na mastaa mbalimbali pamoja na wadau wa muziki kwenye show iliyopewa jina Black Tie. Kama uliikosa hii usijali…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 10, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Kama umesikia stori za Sanchez kujiunga na Juventus
Najua watu wangu wa nguvu wanaopenda soka la ulaya, huu ni wakati ambao wanafuatilia kwa karibu mipango na uboreshwaji wa timu wanazozishabikia, headlines za usajili wa wachezaji soka ndio zinatawala…
VIDEO: Edward Lowassa ametoa kauli hii kuhusu CHADEMA kufanya maandamano
July 09 2016 Waziri mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia CHADEMA, Edward Lowassa amekutana na umoja wa mameya na wenyeviti wa halmashauri wa CHADEMA. Wakati akizungumza nao Lowassa…
Video: Godzila kafunguka kuhusiana na bifu yake na Billnass
Godzilla ni moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa kutoka kwenye game ya muziki kutoka Bongoflevani, stori ambazo zipo kwenye social network ni kuwa Godzilla ana bifu na mkali…
Video: Weusi walivyokutana na watu wao kwenye stage ya Via via
July 8 2016 kundi la music kutoka Bongoflevani Weusi wakiungana na mkali Jux wamekutana na watu wao kwenye stage moja ya Via via Arusha, kama hukupata time yakufika kwenye show…