Mfumuko wa bei mwezi June 2016 umeongezeka, mchanganuo huko hapa
July 08 2016 Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephaim Kwesigabo amezungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mfumuko wa bei wa…
Rais Magufuli amefanya uteuzi mwingine leo July 08 2016
Taarifa niliyoipokea kutoka ikulu jijini Dar es salaam ni kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Leonard Lutegama Maboko kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa…
PICHA 12: Kutoka kwenye show ya Belle 9 na watu wake Morogoro
July 7,2016 mwimbaji staa wa bongofleva Belle 9 alitumia time yake kwenye stage usiku wa EID Pili baada ya kuwakutanisha mastaa wa Bongofleva kwenye jukwaa moja uwanja wa Jamhuri Morogoro. Show…
EXCLUSIVE: Taarifa ya Polisi kama hujahakiki silaha yako hadi sasa
March 18 2016 mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alitoa agizo la siku 90 kwa wananchi wote Dar wanaomiliki silaha kwenda kuzihakiki upya katika vituo vya polisi,…
VIDEO: Ulipofikia mpango wa kusambaza gesi kwenye magari na majumbani
Baada ya ugunduzi wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara wengi wamekuwa wakisubiri namna ambavyo itakuwa na manufaa kwa mwananchi wa kawaida, hapa Ayo Tv imezungumza na mjiolojia kutoka TPDC, Magambo…
Maamuzi mapya wa Jurgen Klopp ndani ya Liverpool
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp aliyejiunga na klabu hiyo mwezi October 2015 akitokea klabu ya Borrusia Dortmund ya Ujerumani, leo July 8 2016 ametangaza maamuzi mapya ndanni ya klabu ya…
Master J kataja list ya ma producer anaowakubali kutoka Bongoflevani…(VIDEO)
Ni July 8, 2016 ambapo Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Joachim Kimaryo 'Master J' ameweka wazi list ya ma producer anaowakubali kutoka kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva. Akizungumza…
Kuna Mnigeria kauwawa Italia kisa ubaguzi wa rangi aliofanyiwa mke wake
BBC wameripoti kwamba Polisi wa Italia wamemshikilia Mwanaume mmoja anaetuhumiwa kumpiga hadi kumuua Muhamiaji mmoja raia wa Nigeria katika shambulizi la ubaguzi wa rangi. Emmanuel Chidi amekuwa akiishi Italia tangu…
VIDEO: Sababu ya kutoshuka bei ya mafuta nchini wakati duniani imeshuka
Inawezekana umekuwa ni mmoja wa watu ambao wamekuwa wakijiuliza au kuhoji kwamba bei ya mafuta imeshuka katika soko la Dunia lakini nchini bei ya mafuta ndio kwanza utakuta iko palepale…
VIDEO: Mchekeshaji Kenya katofautisha Shetani wa movie za Nigeria na wa movie za Tanzania
Kutoka kwenye show ya TV ya Churchhill Kenya, leo ninae mchekeshaji anaitwa YY ambaye anaonyesha tofauti kati ya Shetani wa kwenye movie za Kinigeria na Shetani wa kwenye movie za…