EXCLUSIVE: Billnas na historia yake toka kitambo hicho..(VIDEO)
Staa kutoka kiwanda cha bongoflevani anayefanya vizuri na hitsong yake ya ‘Chafu Pozi’ (Billnas) time amepata nafasi ya kuzungumza na Ayo TV kuhusu historia ya maisha yake pamoja na changamoto…
Rapper Darasa mbele ya waandishi wa habari June 30, 2016….
Rapper kutoka Bongoflevani, Darasa anayetamba na wimbo uitwao Kama Utanipenda aliyomshirikisha Rich Mavoko , sasa leo June 30, 2016 alikutana na waandishi wa habari kwaajili ya kuzinduzi single yake mpya iitwayo…
Wabunge wengine watatu wamesimamishwa leo, yupo Joseph Mbilinyi ‘Sugu’
June 30 2016 bunge limetangaza kuwasimamisha wabunge watatu wa CHADEMA, Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi 'SUGU' , Saed Kubenea mbunge wa Ubungo na mbunge wa Simanjiro James Millya kwa makosa tofauti ikiwemo…
‘Anyang’anywa U-DC Sekunde ya mwisho Ikulu’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: JPM amnyaka mwizi wa mil 7 kila dakika, akataa ya Mkapa, Kikwete
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 30 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=QMzbg8Kidgc ULIKOSA HII YA TUNDU LISSU KUHOJIWA…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 30, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
AUDIO: Vitu vinne vya kuzingatia kama una mpango wa kucheza soka la kulipwa
Najua kuna vijana wengi wa kitanzania ambao wana mipango ya kucheza soka la kulipwa nje ya nchi, Amplifaya ya Clouds FM ilifanya exclusive interview na mtanzania Hamisi Mroki anayecheza soka…
List ya nyota watano waliotangazwa kusajiliwa na Kagera Sugar June 29 2016
Klabu ya Kagera Sugar ambayo makao makuu yake ni mkoa wa Kagera uwanja wa Kaitaba, usiku wa June 29 kumkia June 30 imetangaza kuwasajili nyota wapya watano kuelekea maandalizi yao…
List ya mastaa Tanzania ambao wapo verified Instagram imeongezeka
Kuwa verified katika mitandao ya kijamii ni kitu ambacho kinawaongezea wasanii umakini na kuwapatia uhakika kwa mashabiki wao, Tanzania inazidi kuchukua headlines kwa wasanii kutoka BongoFlavani kuwa verified katika mitandao…
Usitegemee kuona mechi za Euro zikisimama dakika moja kuomboleza shambulio la Uturuki
Najua umesikia shambulio la kigaidi lilitokea Uturuki na kwa kawaida katika mchezo wa soka tumezoea kuona michuano mbalimbali ikisimama kwa dakika moja kama sehemu ya maombolezo, kama unategemea kuona tukio…