Steve Nyerere autamani ukuu wa wilaya? kayaongea haya..(VIDEO)
Ni June 28, 2016 ambapo staa kutoka kwenye soko la filamu, Steve Nyerere amefunguka kuhusu wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa na rais wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Magufuli.…
Baada ya gesi ya Mtwara, hifadhi kubwa zaidi ya gesi yagunduliwa Tanzania
Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford na kile cha Durham kwa ushirikiano na wataalamu wa madini kutoka Norway wamegundua uwepo wa takriban futi bilioni 54 za hifadhi kubwa zaidi duniani ya…
Time ya kuenjoy hii single ‘Mwendokasi’ kutoka kwa Quick Rocka na Chinbees
Ni time ya kusikiliza hii single mpya iitwayo Mwendokasi kutoka kwa msanii wa Bongofleva, Quick Rocka akiwa na chinbees. Nakukaribisha kwenye link hii mtu wangu, unaweza kuisikiliza kwenye link ya Mkito…
PICHA 14: Timu zilivyowasili na hali ilivyo uwanja wa Taifa DSM
June 28 ndio siku ambayo klabu ya Dar es Salaam Young Africans watacheza mchezo wao wa pili wa michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya TP Mazembe ya…
Maneno ya Jay Moe kwa wasanii wanaokimbilia Dawa za Kulevya…..
Jay Moe ni miongoni mwa ma rapper wa longtime kwenye tasnia ya Bongo Fleva, sasa leo ametoa ya moyoni kuhusiana na wasanii wanaojihusisha na dawa za kulevya. Akizungumza na millardayo.com…
VIDEO: Waziri Lukuvi sasa kumaliza mgogoro wa shamba la Sumaye Mabwepande
Kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katika eneo la Mabwebande Dar es salaam ambao unamhusisha Waziri mkuu wa zamani, Frederick Sumaye na wananchi. Baaada ya juhudi mbalimbali za…
Timu nane zilizoingia kwenye hatua ya robo fainali Euro 2016
Hatua ya 16 bora ya michuano ya EURO yamalizika tayari timu zote nane zilizoingia kwenye robo fainali tushazifahamu hii ni baaada ya June 27 2016 kucheza michezo miwili ya mwisho.…
AudioMPYA: Linex ft Christian Bella wamekusogezea huu mdundo mpya ‘Hewala’
Staa wa bongo fleva Linex akimshirikisha mkali wa masauti Christian Bella wanatukaribisha kusikiliza mdundo mpya ‘Hewala‘ ukishaisikiliza unaweza kuacha comment yako ili wakipita wajue mashabiki wao wanasema nini… https://www.youtube.com/watch?v=6nQl9JK5z58 ULIKOSA HII YA DIAMOND…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 28, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 28 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Maamuzi ya kocha wa England baada ya kutolewa Euro 2016
Siku ya June 27 2016 huenda ikawa ni siku ambayo mashabiki wa soka wamepata habari ambazo huenda hawakuzitarajia kutokana na matokeo ya mechi zenyewe, tulianza kusikia taarifa za Lionel Messi,…