Mbeya City inajiimarisha, imetangaza kumsajili mchezaji mpya
Bado dirisha la usajili la Ligi Kuu soka Tanzania bara linaendelea kama kawaida, kwa sasa tumekuwa tukishuhudia vilabu mbalimbali vikitangaza kusajili wachezaji na vingine vikiendelea kuwania wachezaji na vilabu vingine.…
Mhariri mkuu wa gazeti la Dira asimamishwa kazi
Mkurugenzi Mkuu wa gazeti la Dira Alex Msama, amemsimamisha kazi aliyekuwa Mhariri wa Habari wa Gazeti hilo la Dira ya Mtanzania Mussa Mukama kutokana na mapungufu ya kiutendaji kwa kuonesha dhahiri kutomudu…
Mkubwa Fella azungumzia tetesi za Uhusiano wa Aslay na Ruby
Perfecto TV wanatuunganisha na stori zote za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines June 23 2016 na moja kati ya stori za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines. Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii hususani…
VIDEO: ‘Unapokwisha uchaguzi unakuwa wakati wa kazi, haiwezekani kila siku siasa’- JPM
June 23 2016 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekabidhi taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Time ya kuenjoy hii single ‘Sisikii’ kutoka kwa Maua….
Mwimbaji wa bongofleva mmiliki wa hit single ‘mahaba niue‘, Maua katuletea hii single yake mpya iitwayo Sisikii. Unaweza ukabonyeza HAPA kuisikiliza single hiyo mpya kisha usisahu kuandika maoni yako ili…
Muhimbili yachukua hatua sakata la kuchanganya maiti….
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Lawrence Museru ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa Huduma za Tiba Shirikishi Dkt Praxeda Ogweyo kuanzia leo June 23, 2016 ili kupisha…
VIDEO: ‘Nisingependa kuona mtu yeyote ananichelewesha’- Rais Magufuli
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo tarehe 23 Juni, 2016 imekabidhi taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015 kwa Rais wa Jamhuri…
Kama ulitarajia kumuona Vardy akijiunga Arsenal, katoa maamuzi
Najua huenda wewe ulikuwa ni mmoja kati ya watu au mashabiki wa soka waliokuwa wanatarajia kuona mshambuliaji wa timu ya taifa ya England na klabu ya Leicester City Jamie Vardy…
Tanzania yanufaika na hizi bilioni kutoka Benki ya Dunia
Leo June 23 2016 Serikali imesaini makubaliano ya nyongeza ya fedha kwa ajili ya mfuko wa maendelea ya jamii TASAF, makubaliano ambayo yataifanya benki ya dunia iipatie Tanzania bilioni 440 kwa ajili…
VIDEO: Waziri mkuu Majaliwa kazitoa hatua 5 za kupambana na mafisadi
Waziri mkuu Kasssim Majaliwa alisimama bungeni Dodoma leo June 23 2016 kwa ajili ya kazi moja ya kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge, moja ya swali alilokutana…