Nusu fainali ya Colombia vs Chile imesimama kwa zaidi ya saa moja
Kama wewe ni mmoja kati ya wapenda soka ambao walikuwa wanasubiria kwa hamu kipindi cha pili cha mchezo wa nusu fainali ya pili ya Copa America 2016, ambayo ilikuwa inazihusisha…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 23, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Hatua ya makundi Euro 2016 imemalizika, list ya timu zilizoingia 16 bora
Rasmi usiku wa June 22 2016 hatua ya Makundi ya michuano ya Euro 2016 imemalizika kwa michezo ya Kundi F na D kuchezwa, tumeshuhudia Sweden akikubali kipigo cha goli 1-0…
VIDEO: Young Dee alivyoweka wazi kuhusu kutumia Dawa za kulevya
June 22 2016 Rapper kutoka bongoflevani Young Dee amerudi rasmi kwenye uongozi wake wa zamani wa MDB Record ambao uko chini ya Maximilian Rioba,miongoni mwa vitu alivyoviongea rapper huyo ni…
VIDEO: Leo June 22 2016 Messi na Ronaldo wote wameweka rekodi
Alfajiri ya June 22 2016 nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi alivunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wote ya staa wa zamani wa Argentina Gabriel Batistuta,…
Good News: Mtanzania Vanessa Mdee katajwa kuwania tuzo za Nigeria Entertainment
Msanii wa Bongofleva Vanessa Mdee jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kutajwa katika moja kati ya tuzo kubwa Nigeria Entertainment, Vanessa ametajwa kuwania tuzo zinazoitwa Nigeria Entertainment Awards. Jina la…
Mmiliki wa TP Mazembe amehukumiwa kwenda jela
Mmiliki wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Moise Katumbi amehukumiwa kwenda jela, Katumbi ambaye ni boss wa TP Mazembe ambayo ilikuwa inachezewa na nahodha wa…
Ufafanuzi wa Rais Magufuli kuhusu usitishwaji wa ajira Serikalini
June 22 2016 Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amehutubia katika Jubilei ya miaka 50 ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) iliyofanyika katika ukumbi wa Benki hiyo,…
‘Ikikutwa bidhaa haina viwango mtaani mtu anapoteza kazi’ -Waziri Mwijage
June 22 2016 Waziri wa viwanda na biashara, Charles Mwijage amekutana na wafanyabiashara Arusha katika mkutano wa viwango Afrika uliokutanisha makampuni mbalimbali hapa Tanzania. Baada ya kufungua mkutano huo Waziri…
Video: ‘Kama WCB wangenipa Nyumba na Gari nisingejiunga nao’ Rich Mavoko
Perfecto TV wanatuunganisha na stori zote za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines June 22 2016 na moja kati ya stori za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hii ya Rich Mavoko kaeleza kama lebel yake mpya…