VIDEO: Italia walivyozichukua point tatu dhidi ya Ubelgiji
Bado michuano ya Euro 2016 inaendelea kama kawaida, usiku wa June 13 ilikuwa zamu ya Italia na Ubelgiji kushuka dimbani kucheza mchezo wao wa kwanza wa Euro 2016. Italia walionekana…
PICHA & VIDEO: Kinavyohappen Wizkid na Chris Brown kwenye stage moja ya ‘One Hell Of A Night Tour’.
Wizkid ni kati ya wasanii ambao wamevuka border na kuitambulisha vyema Africa. Siku kadhaa zilizopita Chris Brown alimtangaza Wizkid kuwa kati ya wasanii atakaofanya nao perfomances kwenye tour yake ya…
AUDIO: Ukweli kuhusu hatma ya Salum Telela Yanga
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu kiungo wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Salum Telela kuhusishwa kuachwa na klabu hiyo, huku mitandao mingine ikiandika kuwa staa huyo…
Zitto Kabwe ahojiwa tena na polisi kwa zaidi ya dakika 90
Kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amezidi kuingia kwenye headline ambapo asubuhi ya June 13 2016 alikutana na wanahabari na kuzungumzia kuhusu polisi kuzuia kongamano ambalo liliandaliwa na…
VIDEO: Mabingwa watetezi Hispania walivyoanza Euro 2016 kwa ushindi
Jumatatu ya June 13 2016 timu ya taifa ya Hispania ambao ndio Mabingwa watetezi wa Kombe la Euro, walishuka dimbani kutetea taji lao hilo, kwa kucheza mchezo wao wa kwanza…
VIDEO: Mbunge Aeshi Hilaly amepinga serikali kuwakata wabunge posho zao
Baada ya serikali kutangaza kukata viinua mgongo na posho za wabunge katika kukusanya kodi wakati Waziri wa fedha na mipango Philip Mpango akisoma bajeti kuu. Mbunge wa Sumbawanga mjini Aeshi…
Audio: Yamoto Band na Ruby wanatualika kwenye ‘Suu’
Baada ya Headlines za Aslay na Ruby kutoka kimapenzi Yamoto Band pamoja Ruby wanatualika kuusikiliza wimbo wao mpya 'Suu' chini ya Producer Shirko, Mtu wangu usisahau kuniachia comment yako hapa na…
Video: Linnah kafunguka kuwa anatamani Darassa angekuwa Baba watoto wake
June 13 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, mrembo kutoka bongoflevani Linnah amefunguka kuwa…
VIDEO: Trailer ya game mpya ya FIFA 17, muonekano wa Mourinho Man United
Kwa watu wangu wa nguvu ambao wanapenda game za Play Station maarufu kama PS, hii inawahusu game mpya ya FIFA 17 ina maboresho kiasi kulinganisha na game iliyopita, lakini miongoni…
VIDEO: TOP 10 ya magoli bora ya muda wote Copa America
Michuano maalum ya Copa America 2016 bado inaendelea, najua unajua kuwa mashindano hayo mwaka huu yanafanyika kwa lengo la kusherehekea miaka 10 ya michuano hiyo, tayari tumeshuhudia timu kama Brazil…