Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Kama una love na hits za Jamaica… hizi 10 zipo kwenye list ya kali za sasa!
Trace Urban imetuletea tena list ya video kali za Jamaica kupitia Top10 yao ambayo niSound System ambayo kila wiki huwa inazikutanisha ngoma kali kutoka upande wa Jamaica. Namba 10 >>>…
Video: Majibu ya Abdu Kiba Kuhusu kujiunga WCB ya Diamond Platnumz
Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii kutoka Bongoflevani Abdu Kiba yuko tayari kujiunga na Lebel ya WCB ya Diamond Platnumz, June 8 2016 AyO TV pamoja na…
VIDEO: Waziri Mpango akunja ndita Bajeti 2016/17, Ukawa wampinga Naibu Spika kwa mabango
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 9, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Brazil imepata ushindi wa kwanza Copa America leo June 9 2016 dhidi ya Haiti
Timu ya taifa ya Brazil leo alfajiri ya June 9 2016 ilishuka dimbani kucheza mchezo wake wa pili wa michuano ya Copa America dhid ya timu ya taifa ya Haiti,…
VideoMPYA: Justin Bieber kaachia video ya ‘Company’
Wapenzi wa muziki wa Justin Bieber hii ni kwa ajili yenu, Usiku wa June 8 2016 Bieber ameachia video mpya ya hit single kutoka katika album yake ya 'Purpose' album…
Mchezaji tennis Maria Sharapova amefungiwa miaka miwili kucheza mchezo huo
Ukizungumzia wanamichezo wanawake matajiri duniani huwezi kuacha kulitaja jina la Maria Sharapova ambaye ni mcheza tennis maarufu. Maria Sharapova ameingia kwenye headlines baada ya kuripotiwa kufungiwa kucheza Tennis kwa muda wa miaka miwili,…
Ronaldo na Messi ndio wanasoka pekee walioingia katika TOP 10 ya wanamichezo matajiri duniani
Forbes wametoa list ya wanamichezo 100 matajiri duniani, kwa upande wa TOP 10 mchezo wa soka ambao ndio unatazamiwa kuwa unaingiza hela nyingi, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi pekee ndio…
VIDEO: Wabunge watoro wapigwa Stop kulipwa posho
June 8 2016 Serikali kupitia Wizara ya fedha na mipango imewasilisha bungeni Dodoma mapendekezo ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2016. Jukumu la kuwasilisha limefanywa na…