Majibu ya Sober House’ Baada ya Taarifa za Chid Benz kutoroka kituoni hapo kusambaa
March 22, 2016 meneja wa Diamond Platnumz Babu Tale alimpeleka msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz Sober House iliyopo Bagamoyo iitwayo Life and…
Polisi Mwanza wamefanikiwa kuua Majambazi watatu
Baada ya matukio ya unyang'anyi wa kutumia silaha kwenye maduka ya M-pesa, Tigo pesa, na Airtel Money kushamiri jijini Mwanza, June 5 2016 Jeshi la Polisi Mkoani hapo wamefanikiwa kuwaua…
Habari 10 kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania June 05 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 5, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 5 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Taifa Stars vs Misri June 4 2016, Full Time 0-2
June 4 2016 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilicheza mchezo wake wa tatu wa Kundi G wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa Afrika 2017 AFCON dhidi ya timu…
Tanzania imetolewa na Misri michuano ya AFCON 2017 leo June 4
June 4 2016 ilikuwa ni siku ambayo timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itacheza mchezo wake wa tatu wa Kundi G wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika…
#VIDEO: Hanscana amezungumza haya kuhusu video ya Gnako ‘Arosto’
Video mpya ya G Nako 'Arosto' aliyowashirikisha Chin Bees na member mwenzake kutoka kampuni ya Weusi Nikki wa II imefanywa mara mbili, video ya kwanza imefanywa na Director Nisher na ya pili imefanywa…
Hatua zimechukuliwa kwa waliohujumu barabara za BRT kinondoni
June 2 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli wakati akizungumza na wasomi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam baada ya kuweka jiwe la msingi la…
PICHA 6: Rais Magufuli alivyokutana na kiongozi wa chama cha kikomunisti China
June 04 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amewaalika wawekezaji kutoka Jimbo la Jiangsu la nchini China kuungana na Tanzania katika utekezaji wa mpango wa…
PICHA 21: Kutoka Mbagala Zakhem kwenye siku ya Chips Mayai…..
June 4, 2016 kituo cha radio Choice FM 102.5 kimewakutanisha wadau katika viwanja vya Mbagala Zakhem kujumuika kula Chips Mayai huku wananchi wakapata nafasi ya kushuhudia burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali.…