UEFA wametangaza majina 18 ya wachezaji wanaounda kikosi bora cha mwaka 2016, England hakuna hata mmoja
Ni siku mbili zimepita toka tushuhudia ile fainali ya michuano ya klabu Bingwa Ulaya kwa mwaka 2016, fainali ambayo ilichezwa katika uwanja wa San Siro Milan Italia, hiyo ilikuwa fainali…
VIDEO: Freeman Mbowe kazungumza baada ya Wabunge kutolewa tena bungeni
Headline za Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa zimeendelea…
Kama ulikamatwa na kosa barabarani ndani ya hizi siku tisa kuanzia May 20 2016 umechangia hizi milioni
Polisi Kanda maalum Dar es salaam kupitia kitengo cha usalama barabarani wametoa taarifa ya makosa ya barabarani kuanzia May 20 2016 hadi May 29 2016 kuwa wamekamata magari mbalimbali kwa…
Video: Birthday Party ya Producer Marco Chali usiku wa May 29 2016…
Usiku wa May 29 2016 Producer kutokea MJ Record Marco Chali amefanya Birthday Party Nyumbani kwake maeneo ya Mikocheni Jijini Dar es salaam, Party ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali kutoka…
VIDEO: ‘Tulitarajia kutokea kwa tukio lililotokea Bungeni’-Mbunge Goodluck Mlinga
Headline za Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa zimeendelea…
Msako wa mtoto aliyeachwa msituni na wazazi wake kama ‘Adhabu’ umefika siku ya tatu
Adhabu ni sehemu ya maisha katika malezi ya watoto lakini imekuwa tofauti kwa wazazi hawa kutoka Japan ambao waliamua kumuadhibu mtoto wao mwenye umri wa miaka (7) Yamato Tanooka, kwa kumuacha…
Man United wamefanya maamuzi mapya kuhusu hatma ya Marcus Rashford
Klabu ya Manchester United ya Uingereza leo May 30 2016 imetangaza maamuzi mapya ambayo yatawapa furaha mashabiki wa klabu hiyo, Man United leo May 30 imetangaza kumpa mkataba wa miaka…
TFF imetangaza mchezaji bora mwezi leo May 30 2016
Shirikisho la soka Tanzania TFF leo May 30 2016 kupitia ukurasa wake rasmi wa twitter na tovuti rasmi ya shirikisho hilo, wamemtangaza mshambuliaji wa JKT Ruvu Abdulrahman Musa kuwa ndio mchezaji…
Uteuzi mwingine alioufanya Rais John Magufuli leo May 30 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa Serikali ambapo amemteua Jaji Shabani Ally Lila kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya…
CONFIRMED: Cristiano Ronaldo hatocheza mchezo dhidi ya England June 2 2016
Kocha wa timu ya taifa ya Ureno Fernando Santos leo Jumatatu ya May 30 2016, amenukuliwa na vyombo vya habari hususani dailymail akithibitisha kuwa katika mchezo wa kirafiki kati ya…