PICHA 10: Basi liendalo haraka limepata ajali leo asubuhi ya May 29 2016
Kwa taarifa iliyoifikia millardayo.com leo asubuhi ya May 29 2016 ni ajali iliyohusisha moja kati ya Mabasi yaendayo haraka na gari ndogo aina ya Vitz New Model eneo la Magomeni Usalama…
VIDEO: Show ya uzinduzi wa video mpya ya G Nako, Quick Rocka na Jux ‘Hapo’
Usiku wa May 28 2016 mtu wangu wa nguvu ni siku rasmi ambayo wasanii wa Bonfleva G Nako, Quick Rocka na Jux waliamua kufanya uzinduzi wa video ya ngoma yao…
‘Sakata la vyeti feki lawa gumzo kwa wabunge Dodoma’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori kubwa…
VIDEO: Magufuli ajiandaa kwa lolote, wizi kwenye ATM wamkosesha jamaa harusi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 29, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
Baada ya kuifunga Atletico Madrid fainali, Real Madrid wamefikisha jumla ya Makombe 11 ya UEFA
Usiku wa May 28 2016 wapenda soka wote duniani macho na masikio yao ilikuwa ni katika uwanja wa San Siro katika jiji la Milan Italia, ili kutaka kufahamu nani atafanikiwa…
VIDEO: Mtumbwi Kigamboni Dar es salaam wasababisha vifo
Habari za ajali ya kuzama kwa mtumbwi ambao ulikuwa unatumika kuwavusha watu kutoka upande wa soko kuu feri na kuelekea Kigamboni zilianza kuenea May 27 2016 ambapo Mtumbwi huo unasadikika…
VIDEO: Exclusive ya Mbunge Bashungwa ‘Muda haukutosha kuelezea Wanaume kushindwa kuoa wanawake wazuri’
Moja ya stori zilizo make headlines kwenye mitandao ya kijamii kutokea Bungeni Dodoma wiki hii ni ni pamoja na hii ya Mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa aliyesimama kuchangia bajeti ya Wizara ya Maliasili…
AJALI: Mtumbwi waua watano Kigamboni baada ya kuzama usiku wa May 27 2016
Jioni ya May 27 2016 kulitokea ajali ya Mtumbwi uliozama Bahari ya Hindi, watu waliokuwa kwenye mtumbwi huo walikuwa wakivuka kutoka soko kuu Feri kuelekea Kigamboni Dar es salaam. Mtumbwi…
VideoMPYA: Baada ya kimya kirefu Marlaw na Fundi Samweli wametuletea ‘Pamoja’
Baada ya kimya kirefu Marlaw na Fundi Samweli wanatukaribisha kwa pamoja kuitazama video yao mpya iitwayo 'Pamoja' chini ya Director Jahman, Mtu wangu usisahau kuniachia comment yako hapa na wakali…