VIDEO: Kiama wenye Elimu feki, Polisi Zanzibar yaahirisha mahojiano na Maalim Seif
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Maneno ya Wema Sepetu kuhusu tuzo ya BET anayowania Diamond Platnumz
Mwigizaji wa Tanzania ambaye ni mpenzi wa zamani wa mwimbaji Diamond Platnumz, Wema Sepetu ameonyesha wazi anaungana na mamilioni ya Watanzania wengine wanaomsupport mwimbaji huyo ambaye ni Mtanzania pekee anaewania…
Juma Kaseja kataja list ya washambuliaji hatari katika msimu wa 2015/2016
Ligi kuu soka Tanzania bara wote tunajua imemalizika, baadhi ya vilabu vimeshaanza kufanya usajili kama Yanga tayari wamemsajili Hassan Kessy wa Simba na Juma Mahadhi kutoka Coastal Union ya Tanga.…
PICHA 12:Nisha, Mau-Fundi, Harmonize walivyoupamba usiku wa Mei 27 Mtwara….
Ni Mei 27, 2016 ambapo wakazi wa Mtwara kupitia Nisha Entertainment walipata burudani kutoka kwa wachekeshaji, Nisha & Mau-Fundi huku burudani nyingine ikashuka na Msanii kutoka Label ya Wasafi, Harmonize…
PICHA 20: Kutoka katika fainali za kumtafuta Miss IFM kwa mwaka 2016
Usiku wa May 27 2016 ndio ilikuwa siku ya chuo cha usimamizi wa fedha (Institute of Financial Management) kumtafuta mrembo atakayerithi taji la umiss lililokuwa linashikiliwa na Miss IFM 2015…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 28, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 28 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Kuna mambo hayampendezi Zitto Kabwe kwenye elimu ya Tanzania, kayaongea Bungeni
Stori kutokea Bungeni Dodoma zinaendelea kuchukua nafasi, siku mbili zimetengwa kwa ajili ya kuijadili bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi iliyowasilisha maombi yake ya fedha kwa mwaka wa…
Mchezaji wa kwanza kusajiliwa na FC Barcelona ametajwa leo May 27 2016
Harakati za vilabu vya Ulaya kuanza kuwania saini za mastaa wanaowahitaji katika msimu wa 2016/2017 zimeshaanza, leo May 27 2016 stori kutoka The Mirror wameripoti klabu ya FC Barcelona kufanikiwa…
VideoMPYA: Baada ya ‘Ligi Ndogo’ Billnass anatualika kwenye ‘Chafu Pozi’
Bongoflevani kuna good news hii ni kutoka kwa msanii Bilnass, baada yakuachia ligi ndogo leo May 27 anatualika kwenye video yake mpya Chafu Pozi iliyofanyika South Africa, Mtu wangu usisahau…
VIDEO: Ommy Dimpoz alivyoongelea wasanii na post za instagram
Msanii wa bongo fleva na hitmaker wa wimbo wa 'achia body' Ommy Dimpoz amezungumza kuwa mara nyingi watu hawaelewi picha au video wanazoposti wasanii kama ni utani au ni kweli. Hii ni…