AUDIO: Alichosema Ole-Sendeka kwenye mazishi ya Kabwe na kuhusu kusimamishwa kwake kazi
Christopher Ole-Sendeka ambaye ni msemaji mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) alikua miongoni mwa waliohudhuria mazishi ya Wilson Kabwe aliyekua mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam aliyefariki siku chache…
Wizara ya Elimu imeomba kutengewa kiasi cha Shilingi Trilion 1.3 kama bajeti yake ijayo
Bado tunaendelea kuzikaribia headlines za Bungeni, May 26 2016 Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kutitia…
PICHA 10: Mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Mbonea Wilson Kabwe
Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam, Marehemu Wilson Kabwe ulisafirishwa kwenda Same Mkoani Kilimanjaro kwa Maziko, May 25 2016 mazishi yalifanyika ambapo shughuli hiyo ya mazishi…
‘Jimboni kwangu watu hawaoi wanawake wazuri’-Mbunge wa Karagwe
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori kubwa…
VIDEO: Yaliyomkuta Kitwanga kabla ya kung’olewa, polisi yapiga marufuku wanawake kuitwa ‘chura’
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
VIDEO: ‘Nashawishika kabla hatujaingia bungeni tupimwe kama tumevuta bangi’ – Mbunge Ulega
Bado tunaendelea kuzihesabu stori za bungeni na najua kuna watu wangu hawazipati za bungeni sababu halionyeshwi live sasa hivi, ahadi yangu ni kwamba nitakua nazifikisha zote kwako kupitia millardayo.com na AyoTV…
VIDEO: Uchambuzi wa Edo Kumwembe kuhusu Van Gaal kufukuzwa Man United
Bado wapenzi na mashabiki wa Man United wanasubiri ile siku atakayotangazwa rasmi kocha wa zamani wa Chelsea Jose Mourinho kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Louis van Gaal ndani ya klabu…
VIDEO: Cannavaro alisema kastaafu Taifa Stars, Mkwasa kamuita, maamuzi yake je?
Nadir Haroub Cannavaro nahodha wa Yanga ambaye alitangaza kustaafu timu ya taifa baada ya kuvuliwa unahodha, mwenyewe anasema alikosewa heshima kwa kupewa taarifa kupitia vyombo vya habari, kaitwa tena timu…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 26, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Mrisho Ngassa alivyojumuika na marafiki zake wa Yanga katika Ubingwa wa FA
Headlines za Ubingwa wa Kombe la FA kwa klabu ya Dar es Salaam Young Africans ndio zinatarajiwa zipambe kurasa za mbele za magazeti ya michezo ya Tanzania Alhamisi ya May…