PICHA 10: Taarifa rasmi za kifo cha Kinyambe kutoka katika familia yake Uyole Mbeya
May 12 2016 taarifa za kifo cha msanii wa filamu za Comedy James Petro Nsemwa ambaye wengi tunamfahamu kwa jina la 'Kinyambe' zilianza kusambaa katika mitandao ya kijamii, kwa baadhi…
PICHA 10: Diamond na Mafikizolo ndani ya Bunge Dodoma leo, Wabunge walivyotoka nje kupiga picha
May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha…
VIDEO: Bibi aliyemtoa machozi Rais Magufuli, aliyeandika facebook demokrasia imebakwa Znz
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
PICHA 14:Kilivyohappen kwenye birthday party ya meneja wa Diamond Platnumz…mafikizolo wahudhuria
May 11, 2016 meneja wa mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz, Sallam alisherehekea siku yake ya kuzaliwaDar es salaam na wadau mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva huku ikiwa imehudhuriwa na wasanii kutoka…
Msiba: Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba, R.I.P Mchekeshaji Kinyambe
May 12 2016 ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mastaa wa filamu na Muziki nchini, kuhusiana nataarifa ya kufariki kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini…
VIDEO: Paul Makonda kapanda mabasi mapya yaendayo haraka Dar May 11 2016
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Pau Makonda May 11 2016 amejumuika na wananchi wa Dar kuteleza pamoja na wananchi wa Mkoa wake kwenye Mabasi yaendayo haraka kutokea Kariakoo…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 12, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Maelekezo ya kutumia card za kulipia nauli kwenye Mabasi yaendayo haraka Dar es salaam
Kuanzia wiki ijayo wakazi wa Dar es salaam wanaanza kulipia kupanda mabasi yaendayo haraka ambayo yatasafirisha abiria kupitia barabara maalum zilizotengwa, sasa hivi nakuunganisha na maelekezo ya kutumia kadi za…
Wanaopita Daraja la Nyerere Kigamboni zaidi ya mara moja kwa siku Wamehurumiwa kulipia?
Juzi zilitangazwa bei za tozo za kila gari litalopita juu ya daraja jipya la Nyerere Kigamboni ambapo kuanzia Baiskeli, Pikipiki na Magari kila kitu kitakua na bei yake, baadhi ya…
VIDEO: Paul Makonda mguu kwa mguu kwenye msako wa sukari DSM May 11 2016
May 11 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda mguu kwa mguu akiongozana na timu ya Waandishi na Askari alikwenda kwenye msako wa sukari kuendelea kufatilia taarifa…