VIDEO: Katika Maswali na majibu Bungeni leo, Waziri Mwijage kayajibu haya..
Wakati bunge likisubiria kupitisha au kutopitisha bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ambayo hotuba yake iliwasilishwa wiki iliyopita na Waziri Charles Mwijage. Leo Mei 9 2016 katika kipindi…
Maamuzi ya Rais wa UEFA baada ya rufaa yake ya kufungiwa miaka 6 kukataliwa kufutwa
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Michael Platini leo May 9 2016 ameingia kwenye headlines, baada ya majibu ya rufaa yake ya kufungiwa miaka sita kujihusisha na soka…
VIDEO: Tukio lililomfanya Malimi Busungu wa Yanga kuwa nje ya uwanja mwezi mzima
May 7 2016 mchezaji wa Yanga ambaye pia amewahi kuitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Malimi Busungu aliingia kwenye headlines baada ya kugongana na kipa…
Baada ya kuwasainisha mikataba ya kubaini watumishi hewa, RC Makonda kafanya maamuzi haya
Mei 2 2016 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda aliwaapisha wakuu wa idara na maofisa utumishi wote lengo likiwa ni kuwataka kila mtumishi kuwabainisha watumishi wao hewa katika idara…
Nauli za Mabasi ya haraka Dar es salaam zimetangazwa hapa pamoja na siku za bure
Baada ya Kampuni ya UDA-RT kuwasilisha maombi ya nauli zitakazotumika kwa mabasi yaendayo haraka kwa Mamlaka ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini (SUMATRA) May 09 206 SUMATRA imetangaza nauli hizo.…
CONFIRMED: Huyu ndio staa wa Simba aliyesaini Yanga
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusishwa kutaka kuhama klabu ya Simba na kuhitajika na watani wa jadi wa Simba klabu ya Dar es Salaam Young Africans, hatimae leo May…
Kutana na Mrembo Alice kwenye uchambuzi wa Magazeti May 09 2016
AyoTV inakuletea uchambuzi wa magazeti May 09 2016 ambapo mtangazaji leo ni Alice Tupa, miongoni mwa mwa habari zilizochukua headline kwenye magazeti ya Tanzania ni pamoja na hizi.. Sera ya Viwanda…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 9 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
May 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Simba vs Mwadui FC May 8 2016, Full Time 0-1
May 8 2016 klabu ya Simba ilicheza mchezo wake wa 27 wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Simba walikubali kipigo…
VIDEO: ‘Hujuma dhidi ya Rais Magufuli ili asiendeleze mageuzi’ Jukwaa Huru la Wazalendo
Leo Mei 8 2016 Jukwaa huru la Wazalendo Tanzania limekutana na Waandishi wa Habari Dodoma ili kutoa tamko lao kuhusu hujuma dhidi ya Rais John Pombe Magufuli. Katibu wa jukwaa hilo…