VIDEO: Kama uliwahi kukutana na ripoti ya CAG haya ni mambo mawili ya kufahamu kuhusu ripoti yake
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Tanzania (CAG) Profesa Juma Musa Asaad ameamua kuweka wazi mambo kadhaa kuhusiana na ripoti yake, kikubwa alichozungumza mkaguzi mkuu kabla ya kuamini…
Kitilya na wenzake walifikishwa tena Mahakamani leo April 29 2016
Aliyekuwa Kamishna wa TRA, Harry Kitilya, Sioi Solomoni na aliyekuwa afisa mwandamizi wa benki ya Stanibic tawi la Tanzania pia ni mshindi wa taji la Miss Tanzania 1996, Shose Sinare April 27 2016 walikosa…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 29 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
April 29 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…
RATIBA CINEMA: Nick Minaj, Tyga, Ice Cube kwenye movie ya Barber shop… kuna Action ya CRIMINAL pia (+TRAILER)
Barbershop ni moja ya movie mpya zitazoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye majumba ya Cinema ambapo ndani ya movie wameshiriki mastaa wa kimarekani akiwemo Nick Minaj, Common, Tyga, Ice Cube na Eve kama vipi…
VIDEO: Mwili wa Papa Wemba ulivyopokewa uwanja wa ndege Congo DRC
Congo DRC na Afrika kwa ujumla iko kwenye msiba wa mwimbaji mkongwe mzaliwa wa Congo DRC Papa Wemba ambaye alifariki alipoanguka akiwa anatumbuiza jukwaani huko Abidjan Ivory Coast, mwili wake ulisafirishwa…
PICHA 19: Kwa watu wangu wanaopenda mpangilio wa nyumba za kisasa
Nyumba ni mpangilio, nyumba ni mtu mwenyewe.... itategemea wewe unatakaje na unaiwekaje mwisho wa siku ndio unapata kitu unachokihitaji lakini kwanza itapendeza ukiona wengine wamefanyaje ili uibe utundu kutoka kwao,…
VideoMPYA: Nisher kaweka mikono yake kwenye ‘boge’ Emmanuel Austin ft. Ben Pol
Ulimiss kazi za Director Nisher? kama jibu ni Yes basi inabidi ujue ameweka mikono yake kwenye hii video mpya ya mwimbaji Emmanuel Austin ambayo kamshirikisha Ben Pol inaitwa 'boge' ukishaitazama…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 29 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Full Time ya Villarreal vs Liverpool ni 1- 0, tazama na goli lenyewe
Game ni ya nusu fainali Europa League ambapo Villarreal FC ya Hispania imechukua ushindi wa 1-0 huku Liverpool ikiondoka bila goli ambapo ushindi wa Villarreal ulipatikana dakika ya (90+2) kupitia kwa Adrian…
Picha5: Mtoto Getrude Clement alivyowasili nyumbani kwao Mwanza akitokea UN…
Mtoto Mtanzania mwenye umri wa miaka 16 Getrude Clement kutokea Mwanza aliyehutubia mbele ya Maraisi 60 na viongozi wa Mataifa zaidi ya 150 kwenye mkutano wa umoja wa mataifa akiwa…