VideoMPYA: Unakaribishwa kuitazama video mpya ya Tiwa Savage ft Dr. Sid ‘If I start to talk’
Mrembo wa Nigeria Tiwa Savage kwa kushirikiana na Dr. Sid wanatualika kutazama video yao mpya 'If I start to talk' kutoka kwenye album mpya ya Tiwa iitwayo RED. https://youtu.be/uhNG0SXCAbk Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa…
VIDEO: Msikilize kwa makini mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni
April 28 2016 Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amekutana na wanahabari na kuzunguzia mambo kadhaa yanayohusu wilaya yake. Miongoni mwa vitu ambavyo mkuu huyo wa Wilaya amezungumzia ni pamoja…
Habari 9 kubwa kwenye TV za Tanzania April 28 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari April 28 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com imekurekodia habari 9 kupitia TV…
VIDEO: Imefikia wapi kesi ya aliyeandika Mwamunyange kalishwa sumu?
October 09 2015 kuna tukio lilitokea linalomhusisha kijana Benedicto Ngonyani ambaye alituhumiwa kusambaza ujumbe ambao ulichukuliwa kama ni uzushi na kinyume cha sheria ya makosa ya mtandao. Ujumbe huo ambao…
Mitandao yamcheka Mgombea urais Marekani Donald Trump kwa kutoitamka vizuri Tanzania (+video)
Mgombea Urais kupitia Republican Marekani Donald Trump anazo headlines nyingine za kushindwa kutamka vizuri neno Tanzania kwenye hotuba yake kuhusu mambo ya nje ya Marekani alipokua akizungumzia ugaidi wa balozi za…
PICHA 3: Farid Musa wa Azam FC akiendelea na majaribio yake Hispania
Winga mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na Azam FC Farid Musa bado yupo Hispania anaendelea na majaribio yake ya kutafuta nafasi ya kucheza soka la kulipwa, Farid alienda…
VIDEO: ‘Kwanini TAKUKURU hawajawafikisha watu hawa Mahakamani?” Zitto Kabwe
Kutoka Bungeni Dodoma Mkutano wa bunge umeendelea tena leo April 28 2016 ambapo mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amewasilisha bungeni ripoti mpya ya tuhuma za IPTL, Tegeta Escrow pamoja na…
GoodNEWS: Treni ya abiria kuanza kupita tena reli ya kati (+video)
Huduma ya treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda Bara ilisimama kwa muda kutokana na eneo korofi kati ya stesheni za kilosa Morogoro na Gulwe Dodoma lakini sasa hivi habari…
Hii sio habari njema kwa mashabiki wa Real Madrid na Cristiano Ronaldo
Jina la mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo limerudi tena kwenye headlines leo Alhamisi ya April 28 2016. Ronaldo amerudi kwenye headlines baada…
PICHA 25: Mvua ilivyowaathiri wakazi wa Dar es Salaam leo April 28 2016
Leo April 28 2016 mvua iliwaathiri wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutokana na kunyesha mfululizo bila kukata, huenda wewe ukawa ni mmoja kati ya watu walioathirika na mvua…