VIDEO: Nimekutana na list ya magoli 10 magumu kufungwa katika soka
Kuna magoli mengi ambayo yamefungwa na wanasoka lakini huenda yakawa yamezoeleka kufungwa kutokana na aina ya ufungaji wake, uwanjani kuna aina ya magoli yanafungwa kwa njia au ufundi ambao hujazoeleka…
Kabla Nay hajaachia mpya, kasimulia baada ya kuitwa na mama kisa ‘shika adabu yako’
Kutoka bongoflevani msanii Nay wa Mitego amekaa kwenye OnAIRwithMillardAyo na kuongea vitu kadhaa kuhusu single yake ya 'shika adabu yako' ambayo aliitoa miezi miwili iliyopita na sasa kabla hajaachia single…
VIDEO: Bei ya sukari imekuwa tatizo? Waziri Mkuu Majaliwa katoa maagizo haya..
Katika hotuba ya kuhitimisha bajeti limepitisha bajeti ya Makadilio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2016/2017, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa hotuba na…
Huu ndio Ushauri wa Nay wa Mitego kwa Mr Blue kwenye wimbo wa Freedom (+Audio)
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 27 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya…
Maneno ya Zitto Kabwe kuhusu kiasi cha fedha kitachohudumia deni la Taifa katika bajeti ya 2016/17
Una haki ya kupata chochote kinachonifikia mtu wangu wa nguvu hii baada ya kuipata nimeona haitokua nzuri kama nisiposhirikiana na wewe kuisoma hii kuhusiana na maneno ya Mbunge wa Kigoma…
Maamuzi mapya kwenye kesi ya aliyekuwa Kamishna mkuu wa TRA April 27 2016
April 01 2016 aliyekuwa Kamishna wa TRA, Harry Kitilya, Sioi Solomoni na aliyekuwa afisa mwandamizi wa benki ya Stanibic tawi la Tanzania, Shose Sinare walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam…
Tanzania ina upungufu wa sukari sasa hivi, imebidi Waziri mkuu aongee Bungeni
April 27 2016 Bunge limepitisha bajeti ya Makadilio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2016/2017 Katika hotuba ya kuhitimisha bajeti hiyo, Waziri Mkuu…
Geah Habib kainasa hii ya Fundi simu aliyekutwa na mtoto wa miaka 15 chumbani kwake (+Audio)
April 27 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ameinasa hii ya fundi simu aliyekutwa na mtoto wa miaka 15 chumbani kwake, kama hukupata time ya kuisikiliza hii usijali…
Rio Ferdinand kataja mtihani pekee unaoweza kumuokoa Van Gaal asifukuzwe Man United
Beki wa kati wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Rio Ferdinand amaeingia kwenye headlines baada ya kuamua kuizungumzia ajira ya kocha wa sasa…
Zisikupite Stori kubwa kutoka kwenye Magazeti ya leo April 27 2016
Tayari nimekukusanyia Uchambuzi wa stori zote za magazeti ya Tanzania leo April 27 2016, kila siku huwa nazipandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. https://twitter.com/millardayo/status/725160051518898176 https://twitter.com/millardayo/status/725161184870150145 https://twitter.com/millardayo/status/725164789165645824 https://twitter.com/millardayo/status/725170774747828225 https://twitter.com/millardayo/status/725173196119543808 https://twitter.com/millardayo/status/725186980431167488…