Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 25 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 25 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Mwafrika wa kwanza kushinda Tuzo ya PFA ametangazwa leo April 24, amewahi kuifunga Tanzania
Usiku wa April 24 imetangazwa good news kwa soka la Afrika, huu sio ushindi wa taifa la mchezaji husika ila ni fahari ya Afrika nzima, winga mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria…
Sababu za bandari ya Tanga kuteuliwa kutumiwa na Bomba la mafuta kutoka Uganda
Serikali ya Uganda imetangaza rasmi uamuzi wa kutumia bandari ya Tanga baada ya kuwepo na ushindani na bandari za Lamu na Mombasa za nchini Kenya. Bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima…
Mechi ya Coastal Union vs Yanga imevunjika, kauli ya kwanza ya mkurugenzi wa TFF
Nusu fainali ya Kombe la Azam Sport Federation Cup kati ya Coastal Union dhidi ya Yanga imevunjika kwa sababu ya mashabiki wa Coastal Union kuleta vurugu kutokana na kutoridhishwa na…
Mwadui FC vs Azam FC mikwaju ya penati imeamua nani atinge fainali ya ASFC
Kwa upande wa Azam FC walikuwa Shinyanga katika uwanja wa Mwadui FC kucheza mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la FA (Azam Sports Federation Cup), Azam FC wapo katika…
Kutoka Mkwakwani Tanga Coastal vs Yanga mechi imeshindwa kumalizika
April 24 2016 ndio siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Tanzania, kwani ndio ile siku ambayo ilikuwa inasubiriwa na mashabiki kushuhudia nusu fainali ya Kombe la FA…
Fally Ipupa na Ferregola pia wamepata taarifa za kifo cha Papa Wemba
'Moyo wangu umekaa kama bubu, pumzika kwa amani kaka mkubwa' ni maneno ya mwimbaji Ferregola baada ya kusikia taarifa za kifo cha mkongwe wa muziki nchini Congo Papa Wemba ambapo…
Jukwaa huru wanasema kama serikali imekataa live Bunge, wafanye na yafuatayo pia
Utaratibu mpya bungeni ni wa timu maalum iliyopewa kazi maalum ya kurekodi matukio ya Bunge yote yanayofaa kufikishiwa Wananchi na hayo matukio ndio wanapewa waandishi wa habari ila hakuna tena utaratibu…
VIDEO: Tazama goli bora la faulo la muda wote katika soka
Katika soka kuna matukio ambayo huwa hayasahauliki kwa urahisi kutokana na upekee wake, tukio hili la goli la faulo lilifungwa mwaka 1997 na beki wa zamani wa Brazil na vilabu…
Video ya sekunde 80 ikionyesha tukio la Papa Wemba kuanguka jukwaani akitumbuiza na kufariki
Lilikua ni tamasha ambalo linaonekana live kwenye TV ambapo mkongwe huyu wa muziki kutoka Congo DRC alikua akitumbuiza na band yake huko Abidjan Ivory Coast lakini ghafla akaanguka na kufariki…