Azam FC imefanikiwa kuifunga Esperance ya Tunisia, matokeo yapo hapa (+Pichaz)
Baada ya April 9 klabu ya Yanga kucheza mchezo wake wa klabu Bingwa Afrika dhidi ya klabu ya Al Ahly ya Misri na kutoka sare ya goli 1-1, Jumapili ya…
PICHA 13: Kutoka kwenye msiba wa Ndanda Kosovo Kinondoni Dar es salaam
Rest in peace Ndanda Kosovo mkali wa muziki wa dansi ambaye umahiri wake ulionekana sana kwenye band kama FM Academia na Stono Musica, amefariki April 9 2016 hospitalini Muhimbili Dar es salaam…
Feel free kujionea vipisi vya video za alichokifanya Diamond Platnumz Finland na Denmark
Ni furaha kuona jinsi Diamond Platnumz anavyoiwakilisha Tanzania na anavyoisambaza bongofleva nje ya mipaka... kwenye hii post ni time yako kujionea japo vipisi vifupi tu vya video akiwa kwenye show alizofanya…
Dudubaya kaeleza kilichomfanya amuombe Shetta Msamaha, ila……
Kupitia mitandao ya kijamii kulisambaa video fupi ya Dudubaya ambaye ni msanii wa siku nyingi Tanzania akionekana kumtukana matusi ya nguoni msanii Shetta wa bongofleva kisa ni kutokana na msanii…
Pale Mrembo anapokuwa busy na simu wakati ametolewa ‘out’ na Boyfriend
Ni tabia ambazo watu wengi wanazo siku hizi... hizi simu za mkononi zinazotuwezesha kutazama video, picha na taarifa nyingine za kila siku huwa zinatuchukulia attention yetu sana.... nimeikuta hii kwenye Youtube…
Rais Kagame kuhusu Tanzania na Rwanda, saa kadhaa baada ya Rais Magufuli kurudi Tanzania
April 6 2016 Rais John Magufuli wa Tanzania aliungana na Rais Paul Kagame wa Rwanda katika ufunguzi wa daraja la kimataifa mpakani mwa Tanzania na Rwanda na wakafungua pia Ofisi…
TRAILER: X girlfriend wa Chris Brown Karrueche kwenye movie mpya na Marques Houston
Karrueche Tran baada ya kuachana na Chris Brown alisema hataki tena drama hivyo atakua busy na kazi, sasa hivi ameanza kutuonyesha kazi zenyewe... kuna hii Trailer hapa chini ya movie…
VIDEO: Waziri alivyorushiwa kiatu kwenye mkutano na Waandishi wa habari Delhi
Jamaa mmoja huko Delhi India amemrushia kiatu Waziri Arvind Kejriwal akiwa kwenye mkutano na Waandishi wa habari ambapo kabla ya kukamatwa na kupelekwa Polisi, mrushaji wa kiatu hicho amesema alifanya hivyo…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 10 2016 kwenye, Hardnews na michezo
April 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Magoli yote ya Yanga vs Al Ahly Full Time 1-1 April 9 2016 Dar es salaam
Game ya Yanga vs Al Ahly ilimalizika kwa sare ya goli 1-1 ambapo goli la kwanza liliingia dakika ya 9 AlAhly walilipata kupitia kwa Gamal na dakika ya 19 goli la kujifunga Yanga…