Zawadi Rais Kagame aliyompa Rais Magufuli baada ya kufika kijijini kwake Rwanda
Baada ya Rais Magufuli kufanya uzinduzi wa kituo cha pamoja cha maswala ya Uhamiaji kitachokua kina Maafisa wa uhamiaji wa Tanzania na Rwanda kwa pamoja (jengo la pamoja litalofanya kazi…
PICHA 3: Rais Magufuli na Rais Kagame Kigali leo kwenye kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari
Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania yupo nchini Rwanda kwenye ziara ambayo ameianza April 6 2016 na pamoja na mazungumzo na mwenyeji wake Rais Paul Kagame, Dr. Magufuli ameshiriki katika…
Picha 25: Mbunge Mr II anatimiza ahadi ya kurudi bongoflevani, nimemkuta akitengeneza hii video mpya
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Mr. II, Sugu) ameingia studio MJ Records na kutimiza ahadi yake ya kurudi kwenye game ya bongofleva ambapo alikaa kimya kutokana na kuchaguliwa tena kuwa Mbunge kwa…
Maswali Zamaradi Mketema aliyomuuliza Gardner G. Habash baada ya kurudi CloudsFM
Zamaradi Mketema ni mtangazaji wa show ya TAKE ONE CloudsTV ambapo wiki hii habari kubwa mjengoni ni kurudi kwa Gardner G. Habash kwenye Radio ambayo aliifanyia kazi na kuiacha December…
Uliiona picha ya Diamond Platnumz kutoboa pua?! ukweli ninao hapa
Kwa saa kadhaa zimeenea taarifa za mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz kuonekana katoboa pua, hii habari imepewa nguvu kutokana na picha aliyoipost Diamond mwenyewe kwenye Instagram akionekana katoboa pua.…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 7 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Wolfsburg wameikatisha furaha ya Ronaldo iliyomfanya ashangilie akiwa kavaa nguo ya ndani
Michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea tena usiku wa April 6 2016 kwa michezo miwili kupigwa, klabu ya Real Madrid ya Hispania ililazimika kusafiri kutoka Hispania…
Picha ya Diamond Platnumz inayo-trend sana mitandaoni, Nay wa Mitego hakutaka impite
Staa mwenye jina zito kutoka kiwanda cha Bongo Fleva Diamond Platnumz bado jina lake limekuwa gumu kukauka midomoni mwa watu, hii inatokana na uwezo wake mkubwa wa kuimba pamoja na…
Mashabiki wa Yanga na Simba kwa pamoja leo walisherekea matokeo haya ya Azam FC dhidi ya Ndanda FC
Michezo ya viporo ya Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea kupunguzwa kwa upande wa klabu ya Azam FC ya Mbande Chamazi, Azam FC leo April 6 2016 imecheza mchezo wake…
Jokate yuko busy na biashara, hatoonekana kwenye media na kuna hii ishu hata akiulizwa hatojibu
Pamoja na kuzungumzia ishu yake ya kupostiwa kwenye account ya Instagram ya mwigizaji na mwimbaji wa longtime wa Marekani Tyrese, Jokate amesema 'hivi karibuni nimekua siongei sana na Media nimekua…