Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 6 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
April 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
AUDIO: Msikilize Gardner baada ya kurudi CloudsFM ‘haijalishi ni kiasi gani umepoteza ulichokistahili…..’
Habari ya town kuanzia April 5 2016 ni ya mtangazaji Gardner G. Habash kutangaza kurejea kwenye Radio aliyoacha kuifanyia kazi December 2010 ambapo amepata mapokezi makubwa kuanzia kwa Wasikilizaji mpaka…
FC Barcelona hawajakubali kufungwa mara mbili mfululizo Nou Camp, huu ndio ushindi wao dhidi ya Atletico
Michezo ya robo fainali ya michuano ya klabu Bingwa Barani Ulaya ilichezwa usiku wa April 5 2016 katika viwanja vya Nou Camp ulizikutanisha timu za FC Barcelona dhidi ya Atletico…
Tanzania imechukua ushindi dhidi ya Misri leo April 5 2016
Timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys April 5 2016 ilileta faraja kwa watanzania, baada ya kuendeleza umahiri wake wa…
EXCLUSIVE: Baada ya kurudi CloudsFM Gardner G. Habash kaongea haya matano.. aliwahi kutamani kurudi Clouds?
KIKUBWA ULICHOMIS CLOUDS UKIWA NJE: Niliimis Clouds kama familia lakini pia nilimiss sana ile hali ya kuwa nafanya matamasha na Clouds kwa mfano tamasha kubwa kama la FIESTA ni tamasha…
Rais Magufuli kusafiri nje ya nchi kwa mara ya kwanza toka awe Rais
Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli, April 5 2016 jina lake limerudi kwenye headlines kwa mara nyingine tena. Rais Magufuli amerudi…
Rais Shein wa Znz hatoteua Makamu wa kwanza wa Rais kutoka Upinzani (full details)
Moja ya vitu ambavyo najua mtu wangu ulitamani kuvijua baada ya uchaguzi wa marudio Zanzibar uliosusiwa na baadhi ya vyama vya siasa ni hatma ya serikali ya umoja wa kitaifa…
BREAKING: Maamuzi mapya ya ICC kwa Makamu wa Rais wa Kenya
Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai 'ICC' ya The Hague ya nchini Uholanzi, April 05 2016 imetoa maamuzi ya kesi iliyokuwa inawakabili naibu Rais wa Kenya William Ruto na Mwandishi wa…
Siku moja baada ya Antonio Conte kutangazwa kuwa kocha wa Chelsea, yameandikwa haya ya kufungiwa miezi sita
Ni siku moja baada ya uongozi wa Chelsea ya Uingereza kutangaza kumpa mkataba wa miaka mitatu kocha wa timu ya taifa ya Italia Antonio Conte ambaye atajiunga na klabu yao mwishoni…
Kazi ya kushughulikia watumishi hewa inaendelea, leo Waziri wa Magufuli kazungumza haya…..
March 15 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli aliwaagiza Wakuu wa Mikoa na waajiri wote kwa ujumla kuchukua hatua ya kuhakikisha katika Taasisi zao hakuna…