Majibu ya REA baada ya MCC kukatisha msaada wa TRILIONI 1 kwa Tanzania
Siku kadhaa zilizopita bodi ya Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC) ilisitisha msaada wa awamu ya pili wa kutoa zaidi Trilioni 1.4 kwa Tanzania kutokana na kile lilichosema kuwa ni…
VIDEO: Mdundo mwingine mkubwa kwenye TV za burudani duniani sasa hivi ‘work from home’ kwenye 15 bora
Kama unafatilia muziki wa kizazi cha sasa duniani unaweza kuwa umeshakutana nayo lakini kama hujakutana na hii, nakufahamisha wanaitwa Fifth Harmony na single wamemshirikisha Ty Dolla $ign na ni moja…
Ruge ajibu maswali ya PB CloudsFM, mafanikio ya kampeni, Fiesta 2016 na mengine (+Audio)
March 31 2016 Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahaba alikaa kwenye meza ya Power Breakfast Clouds FM kuongelea mambo mengi yakiwemo mafanikio ya Clouds Media Group (CMG) na kampeni…
Vodacom wamempa Shomary Kapombe milioni moja yake tayari !!
Mchezaji wa timu ya Azam FC Shomary Kapombe jana amekabidhiwa shilingi Milioni 1/ kutokana na kutajwa kuwa mchezaji bora wa mwezi January 2016 kwenye ligi ya soka ya VPL inayoendelea…
BREAKING: Wabunge watatu wa CCM wafikishwa Mahakamani Dar es salaam
Wabunge watatu wamefikishwa Mahakamani Kisutu Dar es salaam mchana wa March 31 2016 kwa tuhuma za rushwa, Victor Mwambalaswa wa Lupa (CCM), Kangi Lugola wa Mwibara (CCM) na Sadiq Murad wa…
EXCLUSIVE: Rachel Kizunguzungu amrudia Mungu… ni baada ya yote aliyofanya na kupitia
Mwimbaji Rachel ambaye ujazo wa jina lake uliongezeka baada ya kujiunga na nyumba ya vipaji Tanzania (THT) na kuanza kuachia nyimbo zake, amekaa kwenye Excluvie na mtangazaji wa Amplifaya ya…
Mambo matano ya kufahamu kuhusu Daraja la Kigamboni Dsm kabla ya kuanza kutumika siku 16 zijazo
Ujenzi wa daraja la Kigamboni ambalo linapita juu ya bahari ya hindi Dar es salaam kuwezesha wanaokwenda na kutoka Kigamboni kuvuka kwa urahisi bahari bila kutumia Pantoni, umekamilika kwa asilimia…
VIDEO: Television zanasa jinsi Simba aliyetoroka mbugani Nairobi alivyouwawa kwa risasi Uraiani.
Mwaka huu nimeziona mara tatu taarifa za habari kuhusu Simba kutoroka kwenye hifadhi ya Wanyama Nairobi Kenya na kuingia Uraiani na kufanya maisha kuwa ya wasiwasi, wengine wawili walitoroka kwenye mbuga…
Wale wa Rihanna!! kuna hizi sekunde 31 za kionjo cha video mpya atayoachia.. inaitwa ‘Kiss it Better’
Mwimbaji staa wa dunia Rihanna 'RiRi' amerudi kwenye macho ya dunia baada ya kuthibitisha kwamba single yake mpya ijayo inaitwa 'Kiss It Better' na ameachia kipisi cha video ya hiyo…
Wanafunzi washindwe wenyewe, Faraja Nyalandu kawawezesha kujisomea hata kwa SMS
Faraja Nyalandu ni mrembo wa Kitanzania ambae uzito wa jina lake uliongezeka baada ya kushiriki kwenye shindano la Miss Tanzania 2004, ambapo kipindi cha karibuni uzito wa jina lake uliongezeka baada ya kuanzisha…