VideoMPYA: Juma Nature katoa video mpya inaitwa ‘Kidaruso’ humo ndani kaonekana Miss Tanzania 2014/2015
Juma Nature ni miongoni mwa mastaa wenye umri mkubwa kwenye muziki wa bongofleva na bado wameendelea kutosimama kuachia kazi mpya kila wakati, mpya ya leo ya Juma Nature ni hii…
BREAKING: March 23 usiku kuna Ndege imekamatwa ikisafirisha nyani, Maamuzi yametangazwa leo
Habari niliyoipokea muda mfupi uliopita zinamhusu Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Magembe kumsimamisha kazi Mkurugenzi msimamizi wa wanyama pori Charles Mulokozi kwa kutoa vibali vya kusafirisha wanyama kwenda nje…
Watoto wa Kitanzania walivyocheza mbele ya Vanessa Mdee alipotangaza kutafuta dancers
Vanessa Mdee ni mwimbaji hodari kutokea Tanzania ambapo wiki kadhaa zilizopita alitangaza kutafuta dancers ambao atasaini mkataba wa kufanya nao kazi kwenye majukwaa mbalimbali atakayotokea... tazama hii video uone waliojitokeza.…
Huu ndio ugonjwa wa kuambukiza unaosababisha vifo vingi duniani, Tanzania nayo imehusishwa
Kila tarehe 24 March dunia huadhimisha siku ya ugonjwa wa kifua kikuu, Siku hii ni maalum kwa ajili ya kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa kuendeleza mapambano dhidi ya ugonjwa huo…
Milioni 9 za Rais Magufuli leo March 24, 2016….ninayo video yenye sekunde 15 hapa
Rais Magufuli ametoa zawadi ya vyakula na vinywaji vyeye jumla ya Shilingi milioni tisa na laki tatu katika vituo vya malezi kwa Wazee na watoto wanaoishi katika mazingira magumu nchini ili…
VideoMPYA: Vanessa Mdee katuletea hii mpya inaitwa ‘niroge’
Single yake iliyopita ilikua 'Never Ever' na aliitoa October 2015 na sasa ni March 24 2016 katuletea hii mpya inaitwa 'Niroge' naomba ukishaitazama niachie comment hapa chini na Vanessa atapita…
Wafahamu Wabunge wapya walioteuliwa na NEC
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulifanyika huku baadhi ya majimbo ya uchaguzi, uchaguzi uliahirishwa kutokana na kuwepo kwa sababu mbalimbali. Tume ya Uchaguzi iliteua jumla ya Wabunge wanawake wa viti maalum…
Kama ulilikosa goli la Samatta lililoipa Taifa Stars point tatu dhidi ya Chad March 23 2016 (+Video)
March 23 2016 Taifa Srars ilicheza na Chad katika uwanja wa Idriss Mahamat Chad, Taifa Stars ikiwa ugenini, ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na nahodha…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 24 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Huwezi kuamini, hii ni ndio list ya wachezaji bora ambao hawajawahi kutwaa mataji timu ya taifa
Huenda ukitajiwa list ya majina ya baadhi ya wachezaji na mafanikio walioyapata katika vilabu vyao wanavyochezea, huwezi kuamini kusikia kuwa hajafanikiwa kushinda mataji makubwa na timu zao za taifa. Hii…