Uko tayari kwa Ruby ? kaachia hii Sijutii Remix akiwa amemshirikisha Wakazi isikilize hapa
Hii ni single mpya ya msanii, Ruby ambaye time hii katuletea hii Sijutii Remix akiwa na msanii wa Hip Hop Wakazi. Isikilize hapa mtu wa nguvu kisha usisahau kuniandikia ya…
Habari 8 kubwa kwenye TV za Tanzania March 23 2016
Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya March 23 2016 usijali millardayo.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari nane kubwa kupitia TV za Tanzania. Habari kutoka Channel 10...Ahadi Ya Mamilioni…
Simba walipofikia na Abdi Banda, lakini usishangae kuona Simba wameigomea TFF (+Video)
Huenda unaweza kufikiria ni utani au mkwara tu wa klabu ya Simba kwa shirikisho la soka Tanzania TFF, ila Asubuhi ya March 23, ukweli umethibitika, uongozi wa klabu ya Simba…
Paul Makonda hajalala, anaendelea kutafuta na leo kakutana na Balozi wa China…(+Video)
March 23 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alikutana na Balozi wa China nchini Tanzania na kujadiliana kuhusu namna ya kuinua uchumi kwa vijana wa Kitanzania…
Msimamo wa ACT kuhusu tuhuma za rushwa kamati za bunge
Leo March 23 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimetoa msimamo wake juu ya maamuzi yaliyofanywa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwahamisha kamati Wenyeviti, Makamu wenyeviti…
Kauli ya Juan Mata kuhusu tetesi za Zlatan Ibrahimovic kujiunga Man United
March 23 headlines za nahodha wa timu ya taifa ya Sweden anayeichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, jina lake limerudi kwenye headlines baada ya kiungo wa…
Ishu ya Usumbufu kwa wazee hospitalini imemfanya Waziri wa Afya kuzitoa sentensi hizi leo..(+Video)
March 23 2016 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameziagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinatekeleza agizo la kutoa huduma za afya bure kwa wazee…
Samatta hajakubali kuona rekodi ya Tanzania ikivunjwa na Chad mikononi mwake
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars March 23 imeshuka katika dimba la Idriss Mahamat kucheza na wenyeji wao timu ya taifa ya Chad katika muendelezo wa michezo ya makundi…
Babu Tale aliiona afya ya Chidi Benz kwenye hii show akaguswa kumkimbiza kwenye matibabu
Mastaa kadhaa wa Tanzania walitumia time yao kumuongelea rapper Chidi Benz akiwemo staa wa bongo hiphop Fid Q ambaye alisema Chidi Benz asisimangwe wala kunyooshewa kidole kwa kutelezea kwenye utumiaji wa…
VIDEO: Mzuka wa Tegeta Club 71 walivyoiimba na kuicheza kamatia chini ya Navy Kenzo
Navy Kenzo ni kundi la wakali wa bongofleva linaloundwa na wawili ambao ni Aika na Nahreel, hii video ni ya show yao Club 71 Tegeta Dar es salaam ambapo wapo…