Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 13 2016 kwenye, hardnews na michezo
March 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Tayari Chadema wamempata Katibu Mkuu mpya, baada ya Dk Slaa…(Audio+Pichaz)
Usiku wa March 12 2016, Chadema imeweka kumbukumbu mpya ya kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji anayechukua nafasi ya Dk. Wilbroad Slaa, kwenye kikao cha Baraza kuu la…
Nimeipata video yenye magoli yote ya Yanga vs APR ya Rwanda, Full Time 2-1
March 12 Yanga ilicheza mchezo wake wa kwanza wa raundi ya pili katika michuano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya APR ya Rwanda na Yanga kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli…
Pichaz 19 kwenye utoaji wa tuzo kwa Malkia wa Nguvu Dar…
March 12 2016 kulifanyika utoaji wa tuzo kwa wanawake, tuzo ambazo zimepewa jina la Malkia wa Nguvu, tuzo ambazo zimeandaliwa na Clouds Media Group na kutolewa Jijini Dar es saalam.…
Yanga yaitungua APR mbele ya wanajeshi wenzao (+Pichaz)
March 12 klabu ya Dar Es Salaam Young African ya Tanzania ilishuka katika uwanja wa Amahoro Kigali Rwanda kucheza mchezo wake wa kwanza wa raundi ya pili katika michuano ya…
Kutoka Kigali Rwanda pichaz na vikosi vya APR Vs Yanga kabla ya mchezo
Mtu wangu wa nguvu kabla ya mchezo kuanza naomba nikusogezee pichaz za vikosi vya Yanga na APR vitakavyoingia uwanjani kuchuana katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya klabu…
Picha 20 za Waziri January Makamba alipotembelea Wanakijiji Jimboni kwake Bumbuli
March 11 2016 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira na Mbunge wa Bumbuli Mh .January Makamba aliwatembelea wanakijiji wa kata ya Usambala kijiji cha Mpunda…
Picha 8 za Mwanzo kwenye Baraza kuu la Chadema Mwanza…
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama, hapa nimezipata picha…
Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo March 12 2016 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini https://twitter.com/millardayo/status/708558870516465664 https://twitter.com/millardayo/status/708516134455275520 https://twitter.com/millardayo/status/708531800935690241 https://twitter.com/millardayo/status/708533193499086848…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 12 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…