Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo February 17 2016 kwenye udaku, Hardnews na michezo
February 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Elias Maguli kayaongea ya moyoni kuhusu kocha Patrick kutompanga kikosini ‘amekua na mambo ya Kiafrika’
Kwa yeyote anaemfahamu mshambuliaji wa Taifa Stars Elias Maguli na mwenye taarifa za kutopangwa kwake kwenye kikosi cha timu yake ya Stand United ya Shinyanga atakua anajiuliza kwanini hachezi au hapewi…
Idris Sultan alikuwa anatarajia watoto mapacha ? haya ndio aliyoandika …
Usiku wa February 16 kuamkia February 17 jamaa ambaye jina lake lilizidi kukua baada ya ushindi wa shindano la Big Brother Idris Sultan, aliingia kwenye headlines baada ya kupost picha…
Chelsea yapokea kipigigo dhidi ya PSG, lakini wamevunja rekodi hii ya PSG (+Video)
Hatua ya 16 bora ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya imechezwa usiku wa February 16 kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya Parc des Princes na Estádio da Luz, michezo miwili iliyopigwa usiku huo…
Hata kabla ya nusu mwaka kufika, hili ndio linatabiriwa kutwaa tuzo ya goli bora la Dunia kwa 2016 (+Video)
Kwa kawaida shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA huwa na utaratibu wa kutoa tuzo kadhaa mwishoni mwa mwaka, baadhi ya tuzo ambazo hutolewa huwa ni tuzo ya goli bora la mwaka…
Pichaz 12 Msiba wa John Woka, kuanzia eneo alilopatia ajali hadi nyumbani….
Febr 14 2016 Taarifa zilizoenea kuanzia mitandaoni hadi mitaani ilikuwa ni ishu ya John Woka kupata ajali ya kulipukiwa na gesi, Leo asubuhi ya Feb 16 2016, mambo yakawa ni…
Saa kadhaa kabla ya kuanza kwa mchezo wa PSG Vs Chelsea, hizi ni rekodi muhimu za kufahamu
Mtu wangu wa nguvu hatua ya 16 bora ya michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea kama kawaida usiku wa leo February 16, Usiku huu ndio siku ambayo tutashuhudia michezo miwili…
AUDIO: Ulimis? Rais Magufuli karudisha Polisi Bandarini Dar es salaam
Ni maamuzi mapya ya Rais Magufuli February 15 2016 kuhusu Ulinzi wa bandari ya Dar es salaam chini ya Polisi lakini pia kuna uteuzi alioufanya ukiwemo unaomuhusu Dr. Asharose Migiro…
Full Story: Kuhusu Wakurugenzi wanne waliosimamishwa bodi ya mikopo Tanzania
Maamuzi ya Mawaziri wa Rais Magufuli yanaendelea kuchukua headlines, February 16 2016 imekua zamu ya Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako ambaye amewasimamisha kazi watu wanne ikiwa ni siku moja…
Kuelekea mchezo wa Simba Vs Yanga Feb 20, hivi ni vibonzo 9 ambavyo hutumiwa na mashabiki kutaniana (+Pichaz)
Mtu wangu wa nguvu kwa wapenzi wa soka la Bongo kwa sasa ni kuhusu mchezo kati ya Simba dhidi ya Yanga utakaochezwa Jumamosi ya February 20 katika uwanja wa Taifa…