Yafuatayo ni maneno 135 yaliyoandikwa na Zitto Kabwe kuhusu Freeman Mbowe, Tanzania na Udikteta
Zitto Kabwe ni Mbunge wa Kigoma Mjini kwa ruhusa ya chama cha ACT Wazalendo, na kwa siku kadhaa amekua akihusishwa na headlines za kutokuwa na uhusiano mzuri yeye na Mwenyekiti…
Hesabu ya matukio ya Ujambazi Tanzania kuanzia mwaka 2013 mpaka 2015 imefanywa, Dar imeongoza
Leo Febr 03 2016 Bunge la 11 liliendelea mjini Dodoma na moja ya ripoti zilizonifikia ni hii ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni alivyowasilisha ripoti ya matukio…
Ushindi wa Simba dhidi ya Mgambo JKT umeisaidia kuisogelea Yanga kileleni, Matokeo ya mechi za VPL Feb 3
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo February 3 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja tofauti tofauti Tanzania, klabu ya Dar Es Salaam Young Africans ilikuwa mgeni wa klabu…
Mahali ilipo na muonekano wake wa sasa bastola ya dhahabu ya Muammar Gaddafi
Ni miaka minne imepita toka auwawe aliyekuwa Rais wa Libya kanali Muammar Gaddafi na vikundi vya waasi wa nchi hiyo, Gaddafi alikuwa kiongozi ambaye ana miliki vitu vya thamani kubwa kama…
Nay wa Mitego Mahakamani baada ya kuwaponda Bongo Movie?..U Heard (+Audio)
Febr 03 2016 nakukutanisha na Soudy Brown kwenye U heard ya Clouds fm ambapo leo anazungumzia ishu ya Mbongo Fleva Nay wa Mitego kufuatia mistari yake kwenye baadhi ya nyimbo kuwadiss…
Hekaheka ya mwanafunzi wa kiume aliyeacha shule na kufungiwa ndani na mwanamke… (+Audio)
Timu ya ‘Leo Tena‘ kupitia kipindi cha Hekaheka leo wametuletea tukio la kijana wa kiume aliyeacha shule na kwenda kuishi na mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi yake. Ishu nzima imekamilika kwa kuwakutanisha wapenzi…
Vyakula vitano vinavyoweza kuondoa sumu mwilini kwa wavutaji sigara …
Mtu wangu wa nguvu kuna njia nyingi za kuweza kuishi na kujitibu baadhi ya magonjwa kwa vyakula vya asili, hii ni stori ambayo nimekutana nayo kutoka healthypanda.net February 3. Kisayansi huwa inaripotiwa kuwa…
Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo Feb 03 2016 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Zote nakusogezea hapa chini https://twitter.com/millardayo/status/694748999438438400 https://twitter.com/millardayo/status/694754713229774850…
Stori tatu kubwa mtandaoni asubuhi ya February 3
Mtu wangu nguvu najua utakuwa katika shughuli zako za kila siku, ila nimepitapita katika mitandao nimekutana na stori tatu kubwa asubuhi ya February 3 zilizogonga headlines za michezo. Mtu wangu wa…
Uchambuzi stori kubwa Magazetini Feb 3 2016 >>Nyumba ya Dk. Slaa yauzwa? Halima Mdee vs Dk. Mwakyembe? .. (+Audio)
Tayari nimekurekodia uchambuzi wa magazeti Leo Febr 02 2016 kupitia kipindi cha Powerbreakfast Clouds Fm, Halima Mdee na Mabehewa feki, Mke wa Dk. Slaa kuuzwa. Haya yote na mengine utakutana nayo…