Maamuzi mapya ya Kocha wa Taifa Stars dhidi ya Mbwana Samatta siku mbili baada ya ushindi wa tuzo (+Audio)
Siku mbili baada ya mshambuliaji kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta atangazwe na shirikisho la soka barani Afrika CAF…
Ibrahim Jeba kaipeleka Mtibwa Sugar fainali dhidi ya Simba, cheki pichaz na matokeo
Baada ya mapumziko ya siku moja kutokana na kukamilisha hatua ya Makundi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, January 10 michuano ya Kombe la Mapinduzi iliendelea katika…
Staa wa Tennis duniani alivyouanza mwaka 2016 kwa ushindi huu wa Qatar Open..
Staa anayeshikilia namba moja katika mchezo wa tenis duniani kwa upande wa wanaume Novak Djokovic ameshinda taji lake la kwanza kwa mwaka huu baada ya kumshinda mpinzani wake Rafael Nadal…
Hii ndio habari ya Martial wa Man United inayoweza kuwagharimu wenye gazeti …
Gazeti la The Sun lilimuweka kwenye headlines mkali wa kucheka na nyavu wa Man United, baada ya kumuandika kuhusu stori za usaliti wa mapenzi. Mastaa wa soka huwa wanaingia kwenye…
Olamide kaja na hii ‘I Love Lagos’ Official Video…
Staa wa Nigeria Olamide amerudi kwenye headlines za burudani mwaka 2016 baada ya kuachia official Video yake mpya 'I Love Lagos'. Nakukaribisha hapa kuitazama.. https://www.youtube.com/watch?v=C2uyZVhWP8A Unataka kutumiwa MSG…
Ukimkosa Prezzo kwenye muziki ujue yuko huku na anaitwa Doctor Prezzo !!
Star wa muziki kutoka area code ya +254 kwa watu wa nguvu Kenya, rapper Prezzo japo hasikiki mara kwa mara lakini jina lake lipo kwenye majina ya wakali walioubeba muziki…
Wananchi wageuza viwavi jeshi kitoweo, Abdalah Bulembo vs Fatma Karume, Mahakama ya mafisadi..#MAGAZETINI
NIPASHE Askofu Mkuu Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo, aliyekuwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa siku 10 akipatiwa matibabu, ameruhusiwa kuondoka…
Zisikupite na hizi #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January10, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Mwigizaji Wastara kathibitisha kuolewa na Mbunge wa Zanzibar kwenye picha zao 12 (Pichaz)
Wastara ni Mwigizaji wa Bongo Movie, kulikuwa na picha chache zikizunguka mitandaoni zikimwonesha Wastara akifunga ndoa mtu aliyetajwa kuwa ni Mbunge, ninazo picha pamoja na maneno yake akithibitisha nda yake…
January 10 2016 magazeti 16 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 16 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea…