Gareth Bale kamkaribisha Zinedine Zidane kwa kuwafunga hat-trick Deportivo La Coruna (+Pichaz&Video)
January 9 ni siku ya mapumziko kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi, kwa sasa ni michuano mikubwa pekee kwa Tanzania inayoendelea, baada ya Ligi Kuu Tanzania bara kusimama ili kupisha…
VIDEO: Mbwana Samatta alivyopokelewa uwanja wa ndege Dar es salaam
Mchezaji wa kimataifa Mbwana Samatta wa Taifa Stars na club ya TP Mazembe ya DRC Congo alishinda tuzo ya Afrika kama mchezaji bora wa mwaka 2015 kwa wachezaji wa ndani,…
Sentensi za ACT- Wazalendo leo Jan 9 mbele ya waandishi wa habari….
Leo Jan 9 chama cha ACT- Wazalendo kilifanya mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na kumpongeza Mbwana Samatta pamoja na ishu ya Bomoabomoa inayoendelea Dar es Salaam. Akizungumza Naibu katibu…
Mkongwe wa Bayern Munich ana mashaka na Pep Guardiola, kisa ni maamuzi haya ya Guardiola …
Mkongwe wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Lothar Matthaus amebidi aweke wazi anachofikiria kuhusu kocha wa sasa wa klabu hiyo Pep Guardiola. Matthaus amekiri kuwa na mashaka na upendo wa…
TOP 5 Stories: Zidane kataja hatma ya Ronaldo Real Madrid, Wenger athibitisha kukaribia kukamilisha usajili huu
Kuna mengi huwa yanaandikwa mitandaoni na kwenye magazeti kuhusu soka mtu wangu wa nguvu, Jumamosi ya January 9 naomba nikusogezee TOP 5 ya headlines stories zilizoandikwa sana mitandaoni Jumamosi ya…
January 9 2016 magazeti 16 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea…
Picha 12 kutokea Airport Dar Mbwana Samatta alivyotua na tuzo yake
Jan 9 2016 mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika Mbwana Samatta alitua Dar na kupokewa na mashabiki zake kutokea maeneo mbalimbali ya jiji. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa…
Cheki video ya goli na sehemu ya mechi ya Simba Vs JKU, Full Time Simba 1-0 JKU …
Usiku wa January 8 klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba iliimaliza michezo yake ya hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi 2016, kwa kuitembezea kichapo cha goli 1-0…
Hii ni kauli ya Yaya Toure, baada ya CAF kumpa tuzo Pierre-Emerick Aubameyang na sio yeye …
Mshambuliaji wa kimataifa Gabon ambaye anaichezea klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani Pierre-Emerick Aubameyang ameingia kwenye headlines mara mbili tofauti. Headlines kubwa ya staa huyo ni juu ya ushindi wake wa…
Video ya ‘mbabe wa unga’ Mexico alivyonaswa na Polisi miezi 6 baada ya kutoboa Gereza..
Jamaa aliteka sana vichwa vya habari kubwa duniani, jina lake halisi ni Joaquin Guzman a.k.a 'El Chapo' ni jamaa ambaye ana kesi za kujihusisha na dawa za kulevya, kajikuta mikononi mwa…