Shule za DC Makonda? Prof. Lipumba na Rais Magufuli? Padri kuzaa na mke wa mtu? Madini gerezani? #StoriKUBWA
Kwenye stori kubwa December 31 2015 ziko na hizi zilizoguswa na uchambuzi wa redioni kama ulipitwa. Mgonjwa aliyelipiwa gharama za matibabu na Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili agoma kutoka baada…
Na hizi ndio picha 10 za mastaa Instagram zilizopata likes nyingi duniani mwaka 2015
Instagram ni mtandao wa kijamii ambao umepata watu wengi sana kwa mwaka 2015, ni mtandao ambao kila mtumiaji anao uhuru wa kupost picha na video fupi za sekunde kumi na…
TBT: Picha 8 za Rais Magufuli, Izzo B, Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo za utoto
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi…
Watu wa Kinondoni… Mkuu wenu anasema na nyinyi hapa
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda anasema na watu wake kwa kile kilichogundulika na tatizo kubwa la shule.... yani kuna Wanafunzi watakosa nafasi kwenye ile neema ya Rais Magufuli,…
REPEAT: Nay wa Mitego aliumizwa na hili pia mwaka 2015 ila hakuongea kwa undani kiasi hiki
Kila mtu anayo yaliyompata mwaka 2015 iwe huzuni au furaha, kwa staa wa bongofleva Nay wa Mitego kwenye upande wa mapenzi hawezi kusahau mengi ikiwemo ya mpenzi wake kuvishwa pete…
Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi.
December 30 2015 Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mwenyekiti mstaafu wa chama cha Wananchi C.U.F aliyasema haya hapa chini mbele ya Waandishi wa habari Dar es salaam. https://www.youtube.com/watch?v=ACBBUpkqQdQ Unataka kutumiwa…
List ya makatibu wakuu walioteuliwa na Rais Magufuli December 30
Stori nyingine kubwa kutoka Ikulu Dar es salaam December 30 2015 ni hii ya uteuzi wa Makatibu wakuu kwenye wizara mbalimbali za awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli.…
Magazeti ya Tanzania December 31 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 31 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Video ya dakika 10 za Mbwana Samatta na waziri Nape Nnauye Dar es salaam
December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea TP Mazembe Congo DRC Mbwana Samatta alikutana na waziri wa habari, vijana, wasanii na michezo Nape Nnauye wakati ambapo zimebaki siku chache kuelekea Abuja Nigeria January 7 kwenye utolewaji wa…
FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)
December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya…